Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Wakenya bana kwani tunaongelea hela hapa ? Sawa anapesa kumshinda Uhuru na RutoSawa basi.....
Sai anapesa kupindukia
Umefurahi sasa ?
Wakenya bana kwani tunaongelea hela hapa ? Sawa anapesa kumshinda Uhuru na RutoSawa basi.....
Sai anapesa kupindukia
Kwani walienda kwa mashindano kupigania upendo???Wakenya bana kwani tunaongelea hela hapa ? Sawa anapesa kumshinda Uhuru na Ruto
Umefurahi sasa ?
Kwanza tusikimbilie kwenda kuwalaumu wakenya hapa hakuna ushahidi wowote so far kaongea yeye tu hao wengine aliowataja bado hawajasema kitu.asitugombanishe na wakenya bure wakati ushahidi haujatolewa tusije onekana wajinga jamani.cha pili angalieni hiyo make up hapo hao waliompeleka wafukuzwe ili makosa kama haya yasijirudie!Aliempa kibali kwenda huko nani? Mtaishia kusema wakenya wakenya cheki anavoongea tu unajua hakufaa hata kuwa miss loliondo#
What's so special bout her that u find so appraisingMiss machakos County ako sawa kuliko miss TANZANIA WORLD...
Miss Machakos County Kenya world
Nairobi City photoshoot
View attachment 449330View attachment 449331View attachment 449332View attachment 449333View attachment 449334View attachment 449335View attachment 449336
Mi tanzania Majungu kila korna Kenya sio adui wenu nyie wenyewe ndio maadui wenu
If kenyans have made it mpaka washington DC ku valisha ma miss-es Mbona wasifanye chao
Nikiangaliaga wanawake wanaosifiwa kuwa wazuri na Wakenya huwa nachoka kabisa...sasa huyu "zombie''si sawa na wale kina dada wanaoujiuza pale kimboka ambao wamechoka kwa maisha ya tabu na uvutaji sigara!Miss machakos County ako sawa kuliko miss TANZANIA WORLD...
Miss Machakos County Kenya world
Nairobi City photoshoot
View attachment 449330View attachment 449331View attachment 449332View attachment 449333View attachment 449334View attachment 449335View attachment 449336
Mi tanzania Majungu kila korna Kenya sio adui wenu nyie wenyewe ndio maadui wenu
If kenyans have made it mpaka washington DC ku valisha ma miss-es Mbona wasifanye chao
Angalia hao wanawake anaowaposti kwa mbwembwe nyingi wana sura mbaya(kwa standard za TZ).Kweli Kenya kuna wanawake wabaya ikiwa hao ndio wakali wao.What's so special bout her that u find so appraising
Mosquito legs , a body full of bones na sura ndefu km karai...is that what you call beauty ama nimaphotoshoot ya studio yanakudanganya
The best thing Kenyan ladies can offer in terms of beauty is big forehead
Aliempa kibali kwenda huko nani? Mtaishia kusema wakenya wakenya cheki anavoongea tu unajua hakufaa kuwa miss Loliondo.
Nimecheka sana duh
kenyan boy!tangu hzi miis zianze hapa tanzania hajawahi patikana mshindi,. si tuache hata kama ni bidii tumefanya tuweke mikono juu tu surrender