Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,409
- 119,108
Hahaa wananchi wataandamana kama kwa SutiWe usiogope tutahonga hata majaji bana
Hahaa wananchi wataandamana kama kwa SutiWe usiogope tutahonga hata majaji bana
Teh sahiyo tushapokea kitita wala hayana madhara hayo maandamano yaoHahaa wananchi wataandamana kama kwa Suti
Hicho kitita kitakuwa kichungu kama hakitarudishwaTeh sahiyo tushapokea kitita wala hayana madhara hayo maandamano yao
pole chaliiHii avatar yako dah!
Kampeni tena? I think there should be a video assessment, where every candidates anakua online Skype, hapo ndo utajua who will be the best...... Usijali hiyo zawadi kama ni physical one, it's mine already.ushapata meneja kampeni? soon kitu kinalipuka.
Nitafutieacha uwoga wewe...utashiriki, anza kutafuta meneja kampeni mapema!!
Lazima uwe na meneja wa Kampeni...Kampeni tena? I think there should be a video assessment, where every candidates anakua online Skype, hapo ndo utajua who will be the best...... Usijali hiyo zawadi kama ni physical one, it's mine already.
hutakosekana wewe...
Nimekumiss hadi naumwa @Kiwatengu.Na mie pia nitafutie meneja mzurihuyo ndiyo mwenye uwezo wa kuku kampenia from heart!!
Kura yangu ya ndio itakuwa kwako ...Najitolea kuwa campaign manager wa mshirik mmojawapo pind shindano litakapoanza