Wewe nawe hupitwi na kitu utafikiri Polisi wa Kilwa Road.
Kambana nyetini.
macho yangu ni spesheli kuona maneno mbofumbofu tu...
Wenye vifua vya kutubeba warembo kama sisi Meeen...!!!
Na Wenye Mkono wa Mtoto Meeen...!!!
asante kwa kunipa promo cjui itakubalika maaan humu wanapeanaga ka ajira za wabunge viti maalum na wakuu wa mikoa/wilaya bila kuwasahau majaji
Rejea matoleo ya Nyuma jinsi tulivyoweka mkakati ktk kikao.
Ni hivi:
Miss ChitChat wa Mwezi Dec anapatikana kutoka ndani ya Mamiss waliotangulia
ambao ni wafuatao:
Mwezi August-Miss cacico
Mwezi September-Miss Remmy
Mwezi October-Miss Madame B
Mwezi November-Miss Ciello.
Hvyo basi Miss wa Mwezi December atatoka hapo juu ktk kundi la hao Ma-Miss
Asante.
asante kwa kunipa promo cjui itakubalika maaan humu wanapeanaga ka ajira za wabunge viti maalum na wakuu wa mikoa/wilaya bila kuwasahau majaji
Mpaka mh. Ruhazwe JR a.k.a ANKO LUNDENGA aje, tuendelee kulisongesha...Tuanze hatua za awali za mapendekezo ambapo unaruhusiwa kupendekeza majina matatu then unakaa pembeni. ANKO karocharocha, akija nampisha kwenye siti yake. Tuendelee....
mi ukipita nakupigia kura. sema muandaaji kaingia mitini. mia
There are currently 2 users browsing this thread. (2 members and 0 guests) @C6, charminglady+