Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Habhari yenu bhana,wana chitchat.
Ni kwa mara nyingine tunawadia katika zile pilikapilika na shamlashamla za kumsaka miss chitchat wa kila mwezi.nikukumbushe tu kuwa shindano hili lilianza mwezi aug 2012 ambapo tulimweza kuwapata mamiss ambao napendakuwapa heshima ya kuwa taja majina kwenye mtililiko ufuatao:-
Kwa mara nyingine tunaelekea kumchagua Miss chitchat wa mwezi December,ambapo tunaaza hatua ya kwanza kwa members wa Jf kutupia majina ambalo unazani anafaa kupeperusha bendera ya U-miss Chitchit mwezi Dec Baadaya Miss Ciello kumaliza muda wake.Kama kwawa kama dawa tunatafuta majina kumi ambayo yataenda kuchuana katika nusu fainaly tarehe 29 saa kumi kamili jion katk makundi na wanne kuingia fainaily tarehe 30 na mshindi kupatangazwa terehe 02dec saa tatu kamili usiku.
hata hivyo imetolewa nafasi ya upendeleo kwa mshiriki mmoja amabaye amekua akishiriki katika vipindi vyote vilivyo pita,amepewa heshima ya kuingia moja kwa moja nusu fainally naye si mwingine ni charminglady.
ufafanuzi wa zawadi na maelezo ya kina yatapatikana kwenye thread itakayo kuwa inaendesha mchuanao wa nusu fainaly.
NAWASILISHA
Ni kwa mara nyingine tunawadia katika zile pilikapilika na shamlashamla za kumsaka miss chitchat wa kila mwezi.nikukumbushe tu kuwa shindano hili lilianza mwezi aug 2012 ambapo tulimweza kuwapata mamiss ambao napendakuwapa heshima ya kuwa taja majina kwenye mtililiko ufuatao:-
Kwa mara nyingine tunaelekea kumchagua Miss chitchat wa mwezi December,ambapo tunaaza hatua ya kwanza kwa members wa Jf kutupia majina ambalo unazani anafaa kupeperusha bendera ya U-miss Chitchit mwezi Dec Baadaya Miss Ciello kumaliza muda wake.Kama kwawa kama dawa tunatafuta majina kumi ambayo yataenda kuchuana katika nusu fainaly tarehe 29 saa kumi kamili jion katk makundi na wanne kuingia fainaily tarehe 30 na mshindi kupatangazwa terehe 02dec saa tatu kamili usiku.
hata hivyo imetolewa nafasi ya upendeleo kwa mshiriki mmoja amabaye amekua akishiriki katika vipindi vyote vilivyo pita,amepewa heshima ya kuingia moja kwa moja nusu fainally naye si mwingine ni charminglady.
ufafanuzi wa zawadi na maelezo ya kina yatapatikana kwenye thread itakayo kuwa inaendesha mchuanao wa nusu fainaly.
NAWASILISHA
Last edited by a moderator: