Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,944
- 703
Mrembo wa Botswana (Miss Botswana) Emma Wareus ameibuka kuwa mshindi wa pili kwenye mashindano ya kumtafuta Miss World. Nafasi ya kwanza imechukuliwa na binti mdogo kutoka Marekani (Miss US) aitwaye Alexandria Mills mwenye umri wa miaka 18.
Mwakilishi wetu Genevieve Mpangala chali, hakuweza hata kuingia top 25.
Hongera Botswana kwa nafasi hiyo.
Mwakilishi wetu Genevieve Mpangala chali, hakuweza hata kuingia top 25.
Hongera Botswana kwa nafasi hiyo.