Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Dawa ya faya ni kuushika kabisa lolHahahahahahahahhha
naona umechoka kuishi maana umeshindwa kuchezea fire unachezea moto!
ukiungua ndo kitajulikana
Dawa ya faya ni kuushika kabisa lolHahahahahahahahhha
naona umechoka kuishi maana umeshindwa kuchezea fire unachezea moto!
ruttashobolwa ukinichokoza nazama kwa Madame BHahahahhahahahahahahahahaha
Huna huwezo huo kwani unaogopa gharama ndio maana unapenda vilivyo gharamiwa tayari
kelele nyiiiiiiiiiiingi utadhani gari la matangazo ya tacaids!ruttashobolwa mi ndio b52 original usintibue ntahamia kwako hadi ulie oooooh
Dawa ya faya ni kuushika kabisa lol
ukiungua ndo kitajulikana
Hahahaaaaa utasema mengiHilo ni jibu si swali
Mwambie mdogo wako ajifunze kutunza maana akiona vizuri macho yanamtoka kama wewe!
Na mwaka huu lazima yawachomoke kabisa!
ruttashobolwa ukinichokoza nazama kwa Madame B
si mpaka!ruttashobolwa ukinichokoza nazama kwa Madame B
Heheheee najua inakuuma kuona nataka kuhamia kwa Madame B ila usijali The secretary kakuachia Miss Bantukelele nyiiiiiiiiiiingi utadhani gari la matangazo ya tacaids!
Hahahaaaaa utasema mengi
Wapi Arushaone uje umsikie huyu dogo anabip tiGO customer Center
Kwanza huku sisi huwa hatulazimishi hasa mabinti wanaotoka nje ya Arusha...ukiona anazingua unatema coz huku kuna vufaa vya Kimbulu (Wa-Iraq) noma meeeeen! Ukija utadata so hata huyo wa mitusi anamwagwa tu kama kawa hakuna kurembasi mpaka!
Madame B unasikia mitusi hiyo ya vijana wa arachuga?
Sasa si ndo uendelee nae?TS,hivi ulifikiria nini kufungua hii thread? Hivi unajua Miss Bantu kaniPM?
i love you.kisukari sio inshu Dr.MziziMkavu yupo kwanza hata kulipa mahari hujampa King'asti leta yungiyungi na habat soda changanya uwatu na siki ya apple kuna mgonjwa hapa
Afadhalitayari kiongozi! Nategemea kumleta soon before sijaenda norway. Nitakujulisha
Kwanza huku sisi huwa hatulazimishi hasa mabinti wanaotoka nje ya Arusha...ukiona anazingua unatema coz huku kuna vufaa vya Kimbulu (Wa-Iraq) noma meeeeen! Ukija utadata so hata huyo wa mitusi anamwagwa tu kama kawa hakuna kuremba
umedata sana kwa TS sio?Sasa si ndo uendelee nae?
Unataka The Secretary akusaidie nini?
Nikitoa Talaka ujue nimehamia kwa mwingine na si kuishiwaHuna lolote kelele nyingi tu we na mdogo wako alaf majukumu yana washinda mnatoa talaka!