Misri na Jordan ndio walinzi wa Israel ili isifutike

Ntajie basi wafalme wa nchi ya palestina
Mwezi Novemba 636 AD nchi ya Palestina iliyokuwa ikikaliwa na warumi chini ya makabila ya Byzantine ilikombolewa na khalifa wa pili wa waislamu baada ya kufariki Mtume s.a.w ambaye ni Omar Ibn Khattaab na ikarudi tena kuwa chini ya khalifa huyo na kuendelea baada yake chini ya tawala tofauti za kiislamu.
Kwa maana hiyo tumeona kuwa Omar ibn Alkhattab ni miongoni mwa watawala wa nchi hiyo ukipenda kumwita mfalme au raisi si neno.
 
Mwezo Novemba 636 AD nchi ya Palestina iliyokuwa ikikaliwa na warumi chini ya makabila ya Byzantine ilikombolewa na khalifa wa pili wa waislamu baada ya kufariki Mtume s.a.w ambaye ni Omar Ibn Khattaab na ikarudi tena kuwa chini ya khalifa huyo na kuendelea baada yake chini ya tawala tofauti za kiislamu.
Kwa maana hiyo tumeona kuwa Omar ibn Alkhattab ni miongoni mwa watawala wa nchi hiyo ukipenda kumwita mfalme au raisi si neno.
Kwanza unajua neno palestina limetoka wapi, mtume na khalifa si wamezaliwa Saudi Arabia, Sasa Saudi Arabia na westbank wapi na wapi mbona unaleta vitu ambavyo sio relevant.

Hao wakina khalifa ni sawa nawakina ottoman, na waingireza yaan Khalifa ni mkoloni
 
Kwanza unajua neno palestina limetoka wapi, mtume na khalifa si wamezaliwa Saudi Arabia, Sasa Saudi Arabia na westbank wapi na wapi mbona unaleta vitu ambavyo sio relevant.

Hao wakina khalifa ni sawa nawakina ottoman, na waingireza yaan Khalifa ni mkoloni
Hueleweki unataka nini.Iliulizwa watawala wa Palestina kabla ya 1947. Ukiletewa majina na tarehe za mbali unahisi huna pa kutokea unabadili hoja.
 
Hueleweki unataka nini.Iliulizwa watawala wa Palestina kabla ya 1947. Ukiletewa majina na tarehe za mbali unahisi huna pa kutokea unabadili hoja.
Wale wametokea Saudi Arabia kwa point yako hata warumi na ottoman ni watawala wa palestina, ndo yale yale ya yesse arafat kazaliwa na kukulia misri lakin kaja kuwa rais wa palestina
 
Kipindi chote hicho waarabu waliokuwa wanakaa Israel walikua hawana haja ya nchi ndo maana waliridhia kutawaliwa, Ila kabla ya 1947 mwingireza akaona sio fair kuunda taifa la Israel pekee, basi wale waarabu wakapewa maeneo ya westbank na Gaza ili waunde nchi ya palestina

Wale ni waarabu kutoka nchi tofauti tofauti kama misri, Jordan, Lebanon, Syria n.k ndo maana yesse arafat moja ya Marais wapalestina wamezaliwa misri
Watu wengi hawajui wapalentina ni wahamiaji, na hata msikiti wanaogombania umejengwa juu ya Hekalu la Solomon, ambalo lilipigwa wakati Israel wamevamiwa na dola la kirumi.
 
Watu wengi hawajui wapalentina ni wahamiaji, na hata msikiti wanaogombania umejengwa juu ya Hekalu la Solomon, ambalo lilipigwa wakati Israel wamevamiwa na dola la kirumi.
Wewe ndio hujui. Kwani huyo Solomon na Ibrahim walikuwa dini gani.
 
Hapo ndio naposema akili huna afu unashupaza shingo. Kasema mara ya MWISHO walitawaliwa na Ottoman empire, nikamwambia aache uongo, mara ya walitawaliwa na Uingereza, na ndio maana Uingereza ilishiriki (kama colonial master) kuigawa Palestina ili kuunda taifa la Israel.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ndio fitna za Uiengereza hizo.
 
Israel ilijua zamani kuwa bila kuzitumia nchi mbili zilizo jirani yake kama kinga dhidi ya uvamizi wa taifa la Palestina basi hawataweza kuendelea kuwapo pale kama taifa.Nguvu ya kijeshi wanayojilimbikizia kwa msaada wa taifa la Marekani wala hazina athari kubwa kuliko unafiki wa viongozi wa nchi mbili hizi zinazopakana nayo ambazo ni Jordan na Misri.

Ushahidi wa manufaa ya mikataba hiyo imeonekana katika vita vya mwaka huu 2021 baina ya Israel na Palestina.Kule Sudan na Misri siku mbili kabla ya kusitishwa vita tayari wananchi wa nchi hizo walikuwa wamepandwa na hasira wake kwa waume wakitaka wafunguliwe mpaka ili waingie Israel wakajitoe muhanga.

Hali ilikuwa kama hiyo nchini Jordan ambako mara kadhaa jeshi la nchi hiyo lilipambana na wananchi waliojaribu kuvuka daraja la mfalme Hussein linalozitenganisha Jordan na upande wa Palestina uliozingirwa na Israel wa Ukingo wa magharibi.

Mkataba wa Jordan na Israel ulitiwa saini mwaka 1994 wakati wa uhai wa mfalme Hussein na waziri mkuu Yitzhak Rabin ulioshuhudiwa na raisi Bill Clinton.

View attachment 1795342
Mkataba baina ya Misri na Israel ulitiwa saina mwaka 1979
View attachment 1795358
Egyptian president Anwar Sadat, US president Jimmy Carter, center, and Israeli prime minister Menachem Begin clasp hands on the north lawn of the White House as they sign the peace treaty between Egypt and Israel, March 26, 1979. (AP/Bob Daugherty)
Hao wote damu Moja, hawawezi kukubali Palestina na vibaraka wao weusi wawagombanishe. Damu nzito kuliko maji
 
Back
Top Bottom