Misri na Jordan ndio walinzi wa Israel ili isifutike

Kuigawaje palestina Tena hakukua na nchi inayoitwa palestina Bali kulikua na jamii za warabu na waisrael

Kama kulikua na taifa la palestina ntajie wafalme angalau watano wa palestina waliotawala kabla ya 1947
Waarabu na wayahudi na sio waarabu na Waisrael,

Wayahudi wengi wanaofuata dini yao mpaka leo wapo upande wa palestina.

Zionist ndio waisrael
 
Ntajie hawa viongozi, taifa lolote ambalo hakikukua na kiongozi ni halikuwepo, hata makabila yetu yalikua na machief na walijulikana na kulikua na Koo za kichief

Ukweli ni kwamba hakukua na nchi inayoitwa palestina kabla ya 1947, ndo maana hata yesse arafat rais wa palestina alizaliwa misri na ndo point wanayotumia wayahudi

Kabla ya 1914-1918 na kwenderea mpaka sasa 2021 Palestina ilikuwepo, na ikiitwa hivyo hivyo palestina.. ..Israel haikuwepo.. ..



🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Ebu ntajie wafalme na Marais wa palestina waliokuwepo kabla ya 1947 sababu umesema Israeli ni walowezi wa kizungu waliowekwa pale
Swali gani hili unauliza Mkuu?? Kwani kabla ya 1961 kulikuwa na Taifa linaitwa Tanganyika???.
Hata viongozi waliokuwapo kabla ya hiyo 1961 walikuwa ni machifu wa kila kabila kulikuwa hamna chief / kiongozi wa wamakabila yote hivyo hivyo katika eneo hill la wapelesitina.
 
Hakukua na nchi inayoitwa palestina Bali kulikuwa na waarabu ndo maana hakuna mfamle au rais wa palestina kabla ya mwaka 1947 jina palestina walipewa tu
download.jpg
palestina ilikuwepo kabla ya hao waisrael feki hawajafika, acha kubisha we kilaza
 
Mkuu vipi kuhusu yale mauaji ya Hitler alikuwa akiwaua wayahudi bandia
Hitler alikuwa anaangalia records sio sura. Kuna mambo hayaingii akilini mzee ni basi tu tunalazimishwa tukubali. Hivi mjaluo akisema yeye ni mzungu, utakubali? Elizabeth Warren aliposema yeye ni Red Indian hakuna aliemuamini Marekani na alilazimika kuomba msamaha lakini hawa jamaa wanapeta tu kuiba kwa kuiba asili za watu.

Wana vipimo vya DNA kuthibitisha wao ni wayahudi lakini vipimo hivyo hivyo kuna waafrika wamepimwa nao wameonekana ni wayahudi, bila shaka wakienda china pia wataonekana wayahudi. Kuna mtu humu amesema wamekuwa hivyo sababu walipekwa Ulaya na warumi( siamini hii habari) lakini kama hivyo ndivyo pia wasingebadilika sababu wasingeruhusiwa kuchangamana na watawala wao.

Wayahudi na waarabu wapo hilo eneo miaka nenda rudi lakini kutuambia wayahudi wenyewe ndio wakina Netanyahu ni kutufanya wapumbavu.

Wazungu wanapenda kuiba tamaduni nzuri na mambo mazuri ya jamii nyingine hivyo hii me sishangai.
 
Hiyo sarafu sijaisoma vizuri.Naona kama ni ya mwaka 1930.
Ndio ni ya mwaka 1930 na ipo mpaka nyingine ya mwaka 1927 yani hiyo sarafu ni kubwa ni kuliko taifa feki la waisrael, sasa huyu mleta uzi anadai palestina haikuwepo kabla ya kuja wayahudi na hoja yake anataka kujua kiongozi au wafalme waliokuwepo kabla ya huo mwaka 1947 ila mwisho wa yote kabisa, anakubali kwamba pale kulikuwepo waarabu tu wanaishi😃
 
Ndio ni ya mwaka 1930 na ipo mpaka nyingine ya mwaka 1927 yani hiyo sarafu ni kubwa ni kuliko taifa feki la waisrael, sasa huyu mleta uzi anadai palestina haikuwepo kabla ya kuja wayahudi na hoja yake anataka kujua kiongozi au wafalme waliokuwepo kabla ya huo mwaka 1947 ila mwisho wa yote kabisa, anakubali kwamba pale kulikuwepo waarabu tu wanaishi😃
Nilishakuambia shimon Peres amezaliwa mwaka 1923 alizaliwa Israel unasemaje hawakuwepo
 
Hitler alikuwa anaangalia records sio sura. Kuna mambo hayaingii akilini mzee ni basi tu tunalazimishwa tukubali. Hivi mjaluo akisema yeye ni mzungu, utakubali? Elizabeth Warren aliposema yeye ni Red Indian hakuna aliemuamini Marekani na alilazimika kuomba msamaha lakini hawa jamaa wanapeta tu kuiba kwa kuiba asili za watu.

Wana vipimo vya DNA kuthibitisha wao ni wayahudi lakini vipimo hivyo hivyo kuna waafrika wamepimwa nao wameonekana ni wayahudi, bila shaka wakienda china pia wataonekana wayahudi. Kuna mtu humu amesema wamekuwa hivyo sababu walipekwa Ulaya na warumi( siamini hii habari) lakini kama hivyo ndivyo pia wasingebadilika sababu wasingeruhusiwa kuchangamana na watawala wao.

Wayahudi na waarabu wapo hilo eneo miaka nenda rudi lakini kutuambia wayahudi wenyewe ndio wakina Netanyahu ni kutufanya wapumbavu.

Wazungu wanapenda kuiba tamaduni nzuri na mambo mazuri ya jamii nyingine hivyo hii me sishangai.
Hiyo ya kupelekwa ulaya mbona kwenye historia ipo tatizo letu sis sio wasomaji wa vitabu vya historia wakina Karl max, Einstein, roschild wote hawa ni wayahudi walikulia ulaya
 
Israel ilijua zamani kuwa bila kuzitumia nchi mbili zilizo jirani yake kama kinga dhidi ya uvamizi wa taifa la Palestina basi hawataweza kuendelea kuwapo pale kama taifa.Nguvu ya kijeshi wanayojilimbikizia kwa msaada wa taifa la Marekani wala hazina athari kubwa kuliko unafiki wa viongozi wa nchi mbili hizi zinazopakana nayo ambazo ni Jordan na Misri.

Ushahidi wa manufaa ya mikataba hiyo imeonekana katika vita vya mwaka huu 2021 baina ya Israel na Palestina.Kule Sudan na Misri siku mbili kabla ya kusitishwa vita tayari wananchi wa nchi hizo walikuwa wamepandwa na hasira wake kwa waume wakitaka wafunguliwe mpaka ili waingie Israel wakajitoe muhanga.

Hali ilikuwa kama hiyo nchini Jordan ambako mara kadhaa jeshi la nchi hiyo lilipambana na wananchi waliojaribu kuvuka daraja la mfalme Hussein linalozitenganisha Jordan na upande wa Palestina uliozingirwa na Israel wa Ukingo wa magharibi.

Mkataba wa Jordan na Israel ulitiwa saini mwaka 1994 wakati wa uhai wa mfalme Hussein na waziri mkuu Yitzhak Rabin ulioshuhudiwa na raisi Bill Clinton.

View attachment 1795342
Mkataba baina ya Misri na Israel ulitiwa saina mwaka 1979
View attachment 1795358
Egyptian president Anwar Sadat, US president Jimmy Carter, center, and Israeli prime minister Menachem Begin clasp hands on the north lawn of the White House as they sign the peace treaty between Egypt and Israel, March 26, 1979. (AP/Bob Daugherty)
Hata mataifa yote ya kiarabu yainuke tena kama 1967, watapondwa vibaya mno. Nani anaweza kushindana na mkono wa Mungu aliye hai?.
 
Hiyo ya kupelekwa ulaya mbona kwenye historia ipo tatizo letu sis sio wasomaji wa vitabu vya historia wakina Karl max, Einstein, roschild wote hawa ni wayahudi walikulia ulaya
We unaamini kwamba walikamatwa mateka wa kivita kisha kupelekwa Rome kama watumwa baada kupata uhuru wakaanza kuwa wafanyabiashara? Dunia leo imestaarabika kidogo lakini mateka wa vita bado wanauwawa na kuteswa sasa hao waroma hio roho nzuri ya kuwapeleka gerezani Roma alafu kuwaacha huru wameitoa wapi? Yaani wawasafirishe umbali wote huo alafu wakawaache huru !!!

Asilimia kubwa ya stori za kuwaunganisha hawa wazungu na uyahudi ni za kusadikika tu, kila ninaposoma nakutana na maneno " inasemekana, inaaminika, au, labda".
 
Nilishakuambia shimon Peres amezaliwa mwaka 1923 alizaliwa Israel unasemaje hawakuwepo
Hata hapa bongo wapo waisrael waliozaliwa kabla ya uhuru, hata Germany wapo waisrael waliozaliwa huo mwaka so hoja yako haina mashiko, tunachojua sisi wale waliokotezwa baada ya kufukuzwa ulaya na kuletwa pale. Unakataa kuwa hakukuwa na taifa la palestina ila unakubali ya kuwa pale walikuwepo waarabu, sasa kwani we ktk akili yako unavyosikia taifa ni nini kama si hao waarabu unaowasema au unajua taifa labda ni miti
 
Hata mataifa yote ya kiarabu yainuke tena kama 1967, watapondwa vibaya mno. Nani anaweza kushindana na mkono wa Mungu aliye hai?.
Mkono wa mungu ulio hai ndo huu wa hawa wazungu akina Netanyahu waliodhinisha wanaume kwa wanaume wakanyagane au ?
 
We unaamini kwamba walikamatwa mateka wa kivita kisha kupelekwa Rome kama watumwa baada kupata uhuru wakaanza kuwa wafanyabiashara? Dunia leo imestaarabika kidogo lakini mateka wa vita bado wanauwawa na kuteswa sasa hao waroma hio roho nzuri ya kuwapeleka gerezani Roma alafu kuwaacha huru wameitoa wapi? Yaani wawasafirishe umbali wote huo alafu wakawaache huru !!!

Asilimia kubwa ya stori za kuwaunganisha hawa wazungu na uyahudi ni za kusadikika tu, kila ninaposoma nakutana na maneno " inasemekana, inaaminika, au, labda".
Waliopelekwa kusaidia biashara na mambo ya uchumi kumbuka Jews wanasifa ya kuwa na akili hata Leo wayahudi hawafiki hata million 20 lakin Wana mabillionnaire wengi kuliko hata waarabu ambao wako million 300+

Unavyosema ni stori za kusadikika basi hata vita vya kwanza vya dunia ni stori za kusadikika sababu kitu usichokipenda kusikia unaita stori za kusadikika na mda huo huo unatumia kalender na vitu kibao vya wazungu
 
Back
Top Bottom