FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,845
- 40,433
Bwawa la Grand Renaissance Dam ambalo limekuwa likijengwa nchini Ethiopia kwa zaidi ya miaka 10 sasa linatajwa kuwa ndio litakuwa kubwa kabisa Afrika kwa sasa.
Bwawa hili limefikia hatua ya ujazaji maji, na Misri analalamika kwamba kiwango cha maji ya mto Nile yanayowafikia kitapungua na hivyo kuhatarisha maisha yao, na aametishia kuingia vitani dhidi ya Ethiopia juu ya suala hilo.
Pamoja na vitisho hivyo, Ethiopia wamedai wako tayari kupambana hadi tone la mwisho la damu ya Ethiopia litakapomwagika, ndio watakubali kusitisha mradi.
Leo anatokea mtu mmoja atuambie miradi ya ufuaji umeme kwa kutumia mabwawa ya maji umepitwa na wakati, halafu mnataka tumchekee?
Video ina maelezo ya ziada
Bwawa hili limefikia hatua ya ujazaji maji, na Misri analalamika kwamba kiwango cha maji ya mto Nile yanayowafikia kitapungua na hivyo kuhatarisha maisha yao, na aametishia kuingia vitani dhidi ya Ethiopia juu ya suala hilo.
Pamoja na vitisho hivyo, Ethiopia wamedai wako tayari kupambana hadi tone la mwisho la damu ya Ethiopia litakapomwagika, ndio watakubali kusitisha mradi.
Leo anatokea mtu mmoja atuambie miradi ya ufuaji umeme kwa kutumia mabwawa ya maji umepitwa na wakati, halafu mnataka tumchekee?
Video ina maelezo ya ziada