Misri na Ethiopia zipo katika hati hati ya kuingia vitani juu ya bwawa la kufua umeme linalojengwa na Ethiopia

Historia inaonesha Ethiopia hajawahi kushindwa vita, na ndio Taifa pekee ambalo halijawahi kutawaliwa na mkoloni.
Hiyo ilikuwa enzi za kina Kinjeketile Ngwale. Vita ya siku hizi si mchezo,Mkianza kupigana tu Urusi na Marekani wanaingia kati na kuinunua vita yenu biashara ya silaha inaanza.
 
Ethiopia atasimama.na wengi maana Misri anataka kujimilikisha mto nile kimabavu..hiv Tz tukiamua kuanzisha kilimo kikubwa cha umwagiliaji Shinyanga Geita na Tabora kiasi cha kuounguza kabisa maji yanayoelekea Misri na sisi tutavamiwa?
Misri huwa wanashangaza sana wanavyoiongelea Mto Nile na kuifanya yao pekee wakati chanzo kipo kwetu
 
Ethiopians wameapa iwapo Mmisri atabomoa huo mradi na wao watahakikisha wanajaza sumu kwenye maji
Hapo ndio mchezo utakuwa mtamu
Egypt kama atatumia ndege za kivita itabidi aombe anga la Sudan ili kumpiga Ethiopia
Na Sudan alikubali maana yake katangaza uhasama na Ethiopians
 
Hii mada inajadiliwa hasa kidini na kitaifa. Wengi wao humu wakiwa upande wa ethiopia na kuitakia mabaya egypt hata wafe kwenu ni furaha na vigele gele.


Mleta uzi ili mada yako ijadiliwe kiupana zaidi na ipate wachangiaji wengi na wanaojitambua basi acha udini na utaifa.
Nimetaja dini gani humu?
 
Hiyo ilikuwa enzi za kina Kinjeketile Ngwale. Vita ya siku hizi si mchezo,Mkianza kupigana tu Urusi na Marekani wanaingia kati na kuinunua vita yenu biashara ya silaha inaanza.
Mbona Kinjekite Ngwale na Mkwawa hawakushinda kama ilikuwa rahisi hivyo?
 
Ethiopians wameapa iwapo Mmisri atabomoa huo mradi na wao watahakikisha wanajaza sumu kwenye maji
Hapo ndio mchezo utakuwa mtamu
Egypt kama atatumia ndege za kivita itabidi aombe anga la Sudan ili kumpiga Ethiopia
Na Sudan alikubali maana yake katangaza uhasama na Ethiopians
Tena inatakiwa waandae hiyo sumu mapema kabisa, tena ikae karibu na bwawa, wakivunja tu, yale mafuriko yaende Egypt yakiwa na DDT ya kutosha, ya kutosha yani.
 
Misri wajinga kabisa, lakaini Ethiopia akitumia hayo Maji si bado yataenda Misiri? Shida iko wapi?
Ethiopia ni wapuuzi na wabinafsi,wameambiwa wajaze bwawa kwa awamu hawataki sasa si bora kupiga bomu tuu Ili kutoathiri flow ya maji downstream
 
MISRI ni wajinga sana, umpige Ethiopia kabisa, israel atakuwa amelala usingizi? wanataka kusababisha mzozo usio na umuhimu. mtu maji yanatoka kwako wewe uliyeko c hini unataka kuleta kibesi, wakiweka sumu si utakunywa sumu? kwa gharama waliyotumia ethiopia kujenga anafikiri akipiga mabom kulibomoa kidonda hicho ethiopia atakubali kukaa kimya? hata kama wanayo madege na maguvu lakini hata tembo kuna wakati huwa anakamatika na chura (anapoingia kwenye pua lake lile) na tembo hujingongesha mwenyewe hadi kufa. ethiopia ni wadogo ila sio wa kubeza na lazima walipokuwa wanajenga walijandaa kwa jambo hili. sio wajinga.
Trump aliwahi kusema mwaka jana kuwa Misri inao uwezo wa kulilipua bwawa hilo! Sasa kama Marekani yuko nyuma ya Misri, Israel itakuwa nyuma ya Ethiopia wakati ni swaiba wa Marekani?
 
Ethiopia ni wapuuzi na wabinafsi,wameambiwa wajaze bwawa kwa awamu hawataki sasa si bora kupiga bomu tuu Ili kutoathiri flow ya maji downstream
Brother unajua unachoongea? Huyo Misri nani amempa kuwa na mamlaka ya kuwatawala wengine katika ardhi zao? Yaani ingekuwa wewe ungekubali? Jirani yako akupangie jinsi ya kutumia rasilimali iliyopo nyumbani kwako?
 
Trump aliwahi kusema mwaka jana kuwa Misri inao uwezo wa kulilipua bwawa hilo! Sasa kama Marekani yuko nyuma ya Misri, Israel itakuwa nyuma ya Ethiopia wakati ni swaiba wa Marekani?
Marekani hawapo nyuma ya misri hata siku moja. kumbuka misri inapokea karibia BIL.5 kila mwaka kama msaada toka marekeni ili waache chokochoko kwa israel. na waliwapa hivyo baada ya misri kuonekana hataki kushindwa baada ya kupigwa kipigo cha mbwa mwizi. Israel ina connection kubwa sana na Ethiopia, kuipiga Ethiopia ni kuipiga israel na misri hata taka agombane na israel tena.
 
Hao waarabu walishaletaga mdomo kipindi cha maji kutoka Victoria kuja shinyanga ila wasengerema sana hao jamaa ziwa tutunze sisi magugu maji tutoe sisi leo waje watupangie hao hawaachi kwenda kuleta mamikataba yao ya kikoloni eti nyeeee nyeeee. .... mkoloni wakati tunataka maendeleo the inner finger maza Fanta.
Bwawa la Grand Renaissance Dam ambalo limekuwa likijengwa nchini Ethiopia kwa zaidi ya miaka 10 sasa linatajwa kuwa ndio litakuwa kubwa kabisa Afrika kwa sasa.

Bwawa hili limefikia hatua ya ujazaji maji, na Misri analalamika kwamba kiwango cha maji ya mto Nile yanayowafikia kitapungua na hivyo kuhatarisha maisha yao, na aametishia kuingia vitani dhidi ya Ethiopia juu ya suala hilo.

Pamoja na vitisho hivyo, Ethiopia wamedai wako tayari kupambana hadi tone la mwisho la damu ya Ethiopia litakapomwagika, ndio watakubali kusitisha mradi.

Leo anatokea mtu mmoja atuambie miradi ya ufuaji umeme kwa kutumia mabwawa ya maji umepitwa na wakati, halafu mnataka tumchekee?
Video ina maelezo ya ziada

 
Hao waarabu walishaletaga mdomo kipindi cha maji kutoka Victoria kuja shinyanga ila wasengerema sana hao jamaa ziwa tutunze sisi magugu maji tutoe sisi leo waje watupangie hao hawaachi kwenda kuleta mamikataba yao ya kikoloni eti nyeeee nyeeee. .... mkoloni wakati tunataka maendeleo the inner finger maza Fanta.
Kiboko yao alikuwa Edward Lowassa, wenyewe wakaufyata
 
Back
Top Bottom