Misri na Ethiopia zipo katika hati hati ya kuingia vitani juu ya bwawa la kufua umeme linalojengwa na Ethiopia

HEP is outdated in the modern world hata huu wa kwetu hauna tija ni suala la muda tuuu !! Hata uwanja wa ndege chato mliudifia hiv hivi hata zole ndege mlipiga mayowe na kuandamana mpaka eapot leo vipi!??? Miradi ya jiwe ni faken yote
Mbowe ni mnafiki na wakala wa wazungu anatafuta huruma ya mama Samia ili dili lake alilokula 10% kwa kuleta chanjo Tanzania.

Kwa nini hakuyasema kipindi Magufuli yupo?
 
Bado sijapata picha hii vita itakuwa ya namna gani,? watarushiana missel au watatumia ndege za kivita. Ama itabidi majeshi ya misri yavuke nchi ya sudan kask yaingie kuipiga Ethiopia vita ya ardhin
Haha haaaaa !! Mkuu bhana! Enewei, vita itakua pale Bwawani, mafarao watakuja na nyundo kutindua bwawa, wahabeshi kuwazuia.
 
Misri wameshindwa kufanya calculations za water flow rate.?
Ethiopia wana haki ya kutumia maji yaliyo ndani ya nchi yao.
Majadiliano yafanyike kuhusu uwekezaji huo mkubwa kama unaweza kuisaidia pia Misri na si Misri kuandaa njama za kubomoa Bwawa hilo.
Kama Misri hatosikia mawazo ya Wafrika wenzake na kujifanya yeye ni zaidi ya wengine, ipo siku Historia ya maandiko matakatifu yatakapojirudia.
Bomoa Bwawa mafuriko yaje nchini kwako, wananchi kuandamana, lipa hasara za kubomoa, usipolipa nchi yako haitokalika kamwe.
Hakuna dhambi mbaya kama kuvamia jasho la wengine waliokuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe walionyanyashwa na kudhalilishwa utu wao kwa Umaskini, njaa na kiu ya Maendeleo.
 
HEP is outdated in the modern world hata huu wa kwetu hauna tija ni suala la muda tuuu !! Hata uwanja wa ndege chato mliudifia hiv hivi hata zole ndege mlipiga mayowe na kuandamana mpaka eapot leo vipi!??? Miradi ya jiwe ni faken yote
Wewe mwenyewe faken ......sema Kwa msaada WA nyege za wazazi wako ukazaliwa kibishi bishi kuku med wewe..........ukibeza na we utabezwa pia
 
Bwawa la Grand Renaissance Dam ambalo limekuwa likijengwa nchini Ethiopia kwa zaidi ya miaka 10 sasa linatajwa kuwa ndio litakuwa kubwa kabisa Afrika kwa sasa.

Bwawa hili limefikia hatua ya ujazaji maji, na Misri analalamika kwamba kiwango cha maji ya mto Nile yanayowafikia kitapungua na hivyo kuhatarisha maisha yao, na aametishia kuingia vitani dhidi ya Ethiopia juu ya suala hilo.

Pamoja na vitisho hivyo, Ethiopia wamedai wako tayari kupambana hadi tone la mwisho la damu ya Ethiopia litakapomwagika, ndio watakubali kusitisha mradi.

Leo anatokea mtu mmoja atuambie miradi ya ufuaji umeme kwa kutumia mabwawa ya maji umepitwa na wakati, halafu mnataka tumchekee?
Video ina maelezo ya ziada

Umeharibu mwishoni. Imekaa kisiasa sana.
 
Haha haaaaa !! Mkuu bhana! Enewei, vita itakua pale Bwawani, mafarao watakuja na nyundo kutindua bwawa, wahabeshi kuwazuia.
Nakwambiaje, wakithubutu kufanya hivyo, lile bwawa litajazwa si kwa maji, bali kwa damu za waMisri wenye wivu, jeuri, na kiburi.
 
Misri wajinga kabisa, lakaini Ethiopia akitumia hayo Maji si bado yataenda Misiri? Shida iko wapi?
Ndio hapo sasa, maana maji yakipita kwenye zile mashine yanatoka kama yalivyo kuelekea downstream, vitu vingine ni roho mbaya tu, Wamisri wamejenga Aswan Dam kule kwao hakuna aliyewauliza, sisi huku tulitaka kupelekea watu maji ya kunywa kwenye mradi wa ziwa victoria eti wakaanza kutupiga beat, Lowassa aliwanyoosha enzi zile
 
Hii mada inajadiliwa hasa kidini na kitaifa. Wengi wao humu wakiwa upande wa ethiopia na kuitakia mabaya egypt hata wafe kwenu ni furaha na vigele gele.


Mleta uzi ili mada yako ijadiliwe kiupana zaidi na ipate wachangiaji wengi na wanaojitambua basi acha udini na utaifa.
 
Ethiopia atasimama.na wengi maana Misri anataka kujimilikisha mto nile kimabavu..hiv Tz tukiamua kuanzisha kilimo kikubwa cha umwagiliaji Shinyanga Geita na Tabora kiasi cha kuounguza kabisa maji yanayoelekea Misri na sisi tutavamiwa?
waliisha wai kuja kutupiga biti tusipeleke maji shinyanga tabora hadi dodoma jiwe akawatimua walikuja na mkataba wao wa enzi za ukoloni na bla bla kibao
 
Wamisri wabinafsi sana hata TZ ilipotaka kuchukua Maji Ziwa Victoria walijifanya Hawataki. Uzuri haya maji sio ya nchi moja atavutana na ethiopia lakini ataachia mwisho wa siku na Bwawa litajengwa tuu...!

Yaani,ziwa letu afu walitupiga biti😲😲
 
Back
Top Bottom