Misri: Msanii wa kike aliyeonekana kwenye video ‘akila ndizi kwa mbwembwe’ akamatwa na polisi

Akili zao zinafanana na serikali ya Tanzania. Basi wawakamate na wauza ndizi wote, maana wao ndio waliomuuzia.
Akili zako sawa tu na Shyma, wauza ndizi hawakumfundisha jinsi ya kula, na hakuuliza inaliwaje.
 
Muziki wa enzi hizi bila kuweka viashiria vya ngono kwenye mashairi na video wasanii wanaona bado hawajaimba
 
Wengine hizo mambo wanazisikia tu halafu yeye anakula ndizi kama ananyonya dudu
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom