Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Timu ya misri imeweza kuwafunga ghana
na kuchukua kombe kwa mara ya tatu mfululizo
alikuwa ni hassan.a aliewanyanyua wamisri vitini
na huku nchini misri watu wakirindima.ilikuwa ni uzembe wa beki za ghana kuwasindikiza washambuliaji wa misri na kufanikiwa kupata ushindi hata hivyo ghana imejitahidi kwa kucheza vizuri
kila la kheri misri
na kuchukua kombe kwa mara ya tatu mfululizo
alikuwa ni hassan.a aliewanyanyua wamisri vitini
na huku nchini misri watu wakirindima.ilikuwa ni uzembe wa beki za ghana kuwasindikiza washambuliaji wa misri na kufanikiwa kupata ushindi hata hivyo ghana imejitahidi kwa kucheza vizuri
kila la kheri misri