The Stranger
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 270
- 246
Habari wanaJF..
Nimejaribu kutafuta misimu ya matunda karibia site zote kwenye mitandao zinazohusiana na kilimo bila mafanikio, hatimae nimekuja hapa Jf nikiamini kabisa hapakosi wataalam na wazoefu wa maswala haya.
Yeyote Anaejua miezi ya kuvuna matunda tafadhali naomba atujulishe.. mfano machungwa yanavunwa miezi gan, maembe miezi gani, mananasi miezi gan, n.k.
Natanguliza shukrani.
Nimejaribu kutafuta misimu ya matunda karibia site zote kwenye mitandao zinazohusiana na kilimo bila mafanikio, hatimae nimekuja hapa Jf nikiamini kabisa hapakosi wataalam na wazoefu wa maswala haya.
Yeyote Anaejua miezi ya kuvuna matunda tafadhali naomba atujulishe.. mfano machungwa yanavunwa miezi gan, maembe miezi gani, mananasi miezi gan, n.k.
Natanguliza shukrani.