kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,631
- 5,137
Ukimsikiliza kwenye kampeni zake Magufuli haonyeshi dalili ya kubadilika.
Anaongea Yale Yale na haonyeshi angalau kutoa matumaini ya namna gani ataongeza ajira, je haki za wafanyakazi zitaboreshwa? Haki za kiraia zitalindwa? Wakulima watawezeshwa vipi kimitaji na kimasoko?
Je, atapunguza makato bodi ya mikopo?
Je, kundi la watoto wanaotaabika na kuacha vyuo kwa kukosa mikopo atatatua vipi hilo tatizo ? Na mengine mengi.
Anatajataja tu madaraja, ndege, Barabara.
Kwa uelewa wangu ni kwenye ukishapewa kuunda serikali ujenzi wa miundo mbinu nilazima uufanye wakati huohuo uchumi na afya za watu lazima uziboreshe, ajira ziongezeke, mishahara ipande proportionary
Hakuna excuse ukishindwa kufanya hayo yote kwa pamoja pisha office umeshindwa kazi.
Sasa mgombea wa CCM ni dhahiri akichaguliwa tena mambo mengine yatendelea kuwekwa benchi. Vijana wataendelea kukosa ajira.
Wafanyakazi wataendelea kusoteshwa. Wafanyakazi waendelee kusubiri maumivu. Wananchi waendelee kusubiri lugha za kejeli
Anaongea Yale Yale na haonyeshi angalau kutoa matumaini ya namna gani ataongeza ajira, je haki za wafanyakazi zitaboreshwa? Haki za kiraia zitalindwa? Wakulima watawezeshwa vipi kimitaji na kimasoko?
Je, atapunguza makato bodi ya mikopo?
Je, kundi la watoto wanaotaabika na kuacha vyuo kwa kukosa mikopo atatatua vipi hilo tatizo ? Na mengine mengi.
Anatajataja tu madaraja, ndege, Barabara.
Kwa uelewa wangu ni kwenye ukishapewa kuunda serikali ujenzi wa miundo mbinu nilazima uufanye wakati huohuo uchumi na afya za watu lazima uziboreshe, ajira ziongezeke, mishahara ipande proportionary
Hakuna excuse ukishindwa kufanya hayo yote kwa pamoja pisha office umeshindwa kazi.
Sasa mgombea wa CCM ni dhahiri akichaguliwa tena mambo mengine yatendelea kuwekwa benchi. Vijana wataendelea kukosa ajira.
Wafanyakazi wataendelea kusoteshwa. Wafanyakazi waendelee kusubiri maumivu. Wananchi waendelee kusubiri lugha za kejeli