Misimamo ya akina Sophia Simba ndio ilizaa matunda ya kuja kwa Magufuli

Mwene chungu

JF-Expert Member
Nov 12, 2016
916
751
Nimeskia kuwa eti Sophia simba na wenzake wamevuliwa uanachama kwa kile kinachodaia kuwa walisaliti Chama.

Niseme tu kitu kimoja,najua kuwa Magufuli ndie mwenyekiti wa ccm kwa sasa,na maamzi haya yote yanainfluence yake,ukizungatia kuwa alishawahi kuskika alisema hata hapo kabla kuwa watafukuza aliowaita wasaliti..

Ila mimi kama mwanaccm sjakubaliana na maamzi ya kuwavua uanachama watu ambao pamoha na kuwa walitoa misimamo yao lakini baadae waliendelea kukijenga chama,na hata wakati wa uchaguzi mtu kama Nchimbi na wengine walisaidia hata kumpigia kampeni rais Magufuli.

Wakati wa kura za maoni ccm kulikuwa upinzani mkubwa ndani ya chama chetu,na kuibuka kwa watu kutokubaliana na mgombea mmoja ilikuwa ni jambo lisilokwepeka...na huu mim siouoni kama ni usaliti,tungewaita wasaliti kama tu walitoa taarifa fulani kwa maadui zetu...lakini kusimamia walichoamini ni haki mimi nahisi wameonewa..

Kama haitoshi karbu 80% ya wajumbe wa kamati walionesha kuwa na imani na Lowasa na waliimba nyimbo hadharani yanini leo kumchinja mtu mmoja au wawili? Haki iko wapi? ,Nchinbi alisimama hadharani kutetea alichoamini ni sahihi..lakini mnasema kapewa onyo..mim naona kama ku double standard katika kutekeleza haki ndani ya chama.

Au tumeona kuwatoa wale ambao tunajua hawana impact kwa jamii?

Lakini bila msuguano ule Magufuli angepata urais?...mim naamini kusuguana kule ndiko kuliko pelekea rais Magufuli apatikane...


Kutofautiana kimaamzi ndani ya chama kamwe hakuwezi kuisha,hata kama tukibaki 20,au 10 kama wajumbe wa kamati kuu....kama ni kuvuana madaraka juu ya hili nahisi kuna tatizo...binfsi sjakubaliana kama mtaweza nivueni pia...
 
Nakumbuka siku ambayo anakabidhiwa uenyekiti na Kikwete aliongea kauli ambayo inaonyesha huyu Jamaa kuwa siyo mnvumilivu kisiasa,Hasa pale wale walioimba wimbo ule wa kuwa na imani na Lowassa eti angewapoteza.
Penye watu wengi lazima mtofautiane je ikitokea mwaka 2020 akatokea mtu kuchukua form ya kugombea urais kama alivyofanya shibuda atabaki salama? ngoja tuone time will tell.
 
Kazi mnayo wana CCM

Kila mtu ataongea lake, mlizoea kukaaaa na kusubiri kifo. Mnaisoma namba sasa hahahahaaaa

Ujue wengine nao wameamua kwenye kikao sio peke yake

Umeandika kama mkibaki 20 sijui 10, si upo hapo nenda kawaambie uso kwa uso hahahaaaa
Makonda!!!!!
 
Kama janja janja bashite yupo uraiani mpk sasa usitegemee bwana yule akaacha double standard

Nimeskia kuwa eti Sophia simba na wenzake wamevuliwa uanachama kwa kile kinachodaia kuwa walisaliti Chama.

Niseme tu kitu kimoja,najua kuwa Magufuli ndie mwenyekiti wa ccm kwa sasa,na maamzi haya yote yanainfluence yake,ukizungatia kuwa alishawahi kuskika alisema hata hapo kabla kuwa watafukuza aliowaita wasaliti..

Ila mimi kama mwanaccm sjakubaliana na maamzi ya kuwavua uanachama watu ambao pamoha na kuwa walitoa misimamo yao lakini baadae waliendelea kukijenga chama,na hata wakati wa uchaguzi mtu kama Nchimbi na wengine walisaidia hata kumpigia kampeni rais Magufuli.

Wakati wa kura za maoni ccm kulikuwa upinzani mkubwa ndani ya chama chetu,na kuibuka kwa watu kutokubaliana na mgombea mmoja ilikuwa ni jambo lisilokwepeka...na huu mim siouoni kama ni usaliti,tungewaita wasaliti kama tu walitoa taarifa fulani kwa maadui zetu...lakini kusimamia walichoamini ni haki mimi nahisi wameonewa..

Kama haitoshi karbu 80% ya wajumbe wa kamati walionesha kuwa na imani na Lowasa na waliimba nyimbo hadharani yanini leo kumchinja mtu mmoja au wawili? Haki iko wapi? ,Nchinbi alisimama hadharani kutetea alichoamini ni sahihi..lakini mnasema kapewa onyo..mim naona kama ku double standard katika kutekeleza haki ndani ya chama.

Au tumeona kuwatoa wale ambao tunajua hawana impact kwa jamii?

Lakini bila msuguano ule Magufuli angepata urais?...mim naamini kusuguana kule ndiko kuliko pelekea rais Magufuli apatikane...


Kutofautiana kimaamzi ndani ya chama kamwe hakuwezi kuisha,hata kama tukibaki 20,au 10 kama wajumbe wa kamati kuu....kama ni kuvuana madaraka juu ya hili nahisi kuna tatizo...binfsi sjakubaliana kama mtaweza nivueni pia...
abaebcf61f94019f798fc36ac848752c.jpg
 
Umeongea la maana kweli, everyone played their part kwenye uchaguzi.
Leo hii wanaona hawafai kisa tu walimsupport mtu mwingine
Vengeance sio kitu kizuri...

Kwani kuna ulazima gani wa wao kuendelea baki kwenye chama?,Lowassa baada ya kukataliwa alihamia chadema na wao wahamie huko si walikuwa wanaimba Lowasa-Lowassa,sasa kawaacha wasaliti wake ccm ili waendelee kuvujisha siri?....hatuwataki waondoke tu mana hakuna namna.
 
Jamaa ni jitu lisilo na shukrani wala inhisan,kama sio msimamo wa akina Sophia,Nchimbi na wenzao leo Membe angekua ndiye rais na Chatti International Airport isingejengwa
Fadhila mfadhili mbuzi......

Hayo ni yako mkuu....kwani wao kubaki ccm wanalazimishwa si wahamie kwa huyo swaiba wao Lowassa....yaani kisa waliibua mzozo ndo akapatikana Bro Magu ndo chama kiendelee wakumbatia,nn maana ya mfumo wa vyama vingi,wanasubiri nini waende tu wakaongeze nguvu kwa Mbowe.
 
mkuu hako kapicha kako hapo mwisho ndiyo kameni vunja Mbavu. Haaaaaaaaaaaaaaaaaa. Ccm hoyeeeeeeeeeeeeee. Twiga Hoyeeeeeeeeeee.
 
Back
Top Bottom