KipimaPembe
JF-Expert Member
- Aug 5, 2007
- 1,285
- 696
Hili la mashekhe nao kuanzisha juhudi zao za kueneza elimu ya kiraia naliunga mkono haswaa. Hili ni jambo la kheri na linafaa kuigwa na makundi mengine ya kidini. Lengo ni kuwa na raia wa kitanzania wanaoelewa haki zao za kiraia.
Mambo mema ni vizuri yaigwe na wote wenye mapenzi mema na nchi hii. Hii itaondoa ulalamishi usiokuwa na sababu; kwa nini huyu anafanya hiki na kile? Fanya na wewe, ikiwa waona ni jambo bora au la kheri kufanya. Kutoa elimu kwa watanzania wengi (kwani tunajua wengi hawanay) haliwezi kuwa baya.
Mwenzio akianzisha shule ya sekondari, We fungua chuo uandae walimu watakofundisha sekondari yake. Hayo ni maendeleo!
Mambo mema ni vizuri yaigwe na wote wenye mapenzi mema na nchi hii. Hii itaondoa ulalamishi usiokuwa na sababu; kwa nini huyu anafanya hiki na kile? Fanya na wewe, ikiwa waona ni jambo bora au la kheri kufanya. Kutoa elimu kwa watanzania wengi (kwani tunajua wengi hawanay) haliwezi kuwa baya.
Mwenzio akianzisha shule ya sekondari, We fungua chuo uandae walimu watakofundisha sekondari yake. Hayo ni maendeleo!