#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Hapana, si mimi ninayesema hivyo, hiyo ni logical consistency.

Unaelewa kwamba ninachoandika hapa si ninachotaka mimi, bali ni suala la logical consistency?

Unaikubali logical consistency au unaikataa?

Hujajibu maswali.

Ama huelewi mambo ya msingi kabisa. Ni mjinga.

Ama unaelewa unajifanya mjinga. Ni mshenzi.

Sasa wewe ni mjinga au mshenzi?

Logical consistency itatufikisha kufikia kusema kuwa tusingetakiwa kuwepo hapa Duniani Mungu angetuweka sehemu nyengine nzuri tofauti na duniani ambako si pazuri kuna corona na majanga mengine,na sababu ya kufanya hivyo ni kwamba Mungu anao uwezo wote hivyo anaweza kufanya hivyo.
 
Logical consistency itatufikisha kufikia kusema kuwa tusingetakiwa kuwepo hapa Duniani Mungu angetuweka sehemu nyengine nzuri tofauti na duniani ambako si pazuri kuna corona na majanga mengine,na sababu ya kufanya hivyo ni kwamba Mungu anao uwezo wote hivyo anaweza kufanya hivyo.
Na kwa sababu hatupo katika sehemu hiyo nzuri zaidi ya dunia, Mungu huyo hayupo.

What is so hard to understand about that?
 
Na kwa sababu hatupo katika sehemu hiyo nzuri zaidi ya dunia, Mungu huyo hayupo.

What is so hard to understand about that?
Mwengine kwa kutumia hiyo logical consistency atasema tungetakiwa tusihisi njaa kwa sababu Mungu anao uwezo huo,kwa sababu tu Mungu anao uwezo wote basi kila mtu kila kitu kitafanyika.
 
Mwengine kwa kutumia hiyo logical consistency atasema tungetakiwa tusihisi njaa kwa sababu Mungu anao uwezo huo,kwa sababu tu Mungu anao uwezo wote basi kila mtu kila kitu kitafanyika.
Na tunaishi na kufa kwa njaa, kwa sababu Mungu huyo mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, watoto masikini Africa wasio na hatia wasingekufa kwa njaa.

Habari za kuwepo huyo Mungu ni hadithi tu, hadithi zisizo na logical consistency.
 
Na tunaishi na kufa kwa njaa, kwa sababu Mungu huyo mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, watoto masikini Africa wasio na hatia wasingekufa kwa njaa.

Habari za kuwepo huyo Mungu ni hadithi tu, hadithi zisizo na logical consistency.
Huna hoja ya msingi ya kueleza kwanini hayupo Mungu,yani wewe kitu chochote kinachokujia kichwani hutumia kudai hakuna Mungu.

Unafit katika ule msemo wa kwamba ukibishana na mjinga atakushinda tu,kwanini hivi na sio vile kwani hapa na sio kule ndio hoja zako zenyewe kudai hakuna Mungu.
 
Huna hoja ya msingi ya kueleza kwanini hayupo Mungu,yani wewe kitu chochote kinachokujia kichwani hutumia kudai hakuna Mungu.

Unafit katika ule msemo wa kwamba ukibishana na mjinga atakushinda tu,kwanini hivi na sio vile kwani hapa na sio kule ndio hoja zako zenyewe kudai hakuna Mungu.
Hoja yangu ya msingi ni logical consistency.

Nimekuuliza unaikubali logical consistency?

Mpaka sasa hujaeleweka kama unaikubali logical consistency au unaikataa.
 
Unaweza kuthibitisha ni kweli hakutaka iwe hivyo na yupo at all na kwamba hizo habari za "hakutaka iwe hivyo" si hadithi tu?
Ameeleza katika Quran ni vile hujapata muda wa kukisoma kitabu kwa utulivu.
 
Duuh mufunge misikiti ina maana hamuamini kwamba Mungu ni muweza wa yote hili ni jaribu tusiogope wapendwa wa kuogopwa ni Mungu pekeyake kama imepangwa hatuna namna kifo kipo kimeandaliwa kwa kila mmoja wetu hatuwezi kukikimbia cha msingi mimi kwa kwa upande wangu naona ibada ziendelee kama kawa ila elimu ya jinsi ya kujikinga na corona itifaki izingatiwe Asanteni 🙏🙏🙏
Huwa tunafanya majaribio endapo kinachokuja kutokea hatukijui ama hatuna uhakika nacho,

Mungu anapokupa majaribu huwa hajui matokeo ya karibu hilo?

Na kama anajua majibu yatakavyokuwa, hilo jaribu huwa ni la nini?

Nikisema kuwa hizi habari za Mungu muweza yote,mjuzi wa yote na mwenye upendo kwenu kiasi cha kuwaahidi pepo ya milele hayupo na ni story tu nitakuwa nakosea wapi?
 
Hoja yangu ya msingi ni logical consistency.

Nimekuuliza unaikubali logical consistency?

Mpaka sasa hujaeleweka kama unaikubali logical consistency au unaikataa.
Hata kwa logical consistency huwezi kusema hakuna Mungu.
 
Hata kwa logical consistency huwezi kusema hakuna Mungu.
Hapa umeeleza bila kuelezea sababu.

Hutakiwi kusisitiza logical consistency bila kuelezea sababu za vitu.

Sababu za vitu ndizo zinazoleta. consistency.

Because of this, that. The logic is consistent.

Wewe unaongelea logical consistency bila kutumia logical consistency.

Dhana ya kuwepo kwa Mungu wako ina contradictions. Contradictions ambazo hazijawa resolved.

Hivyo haina logical consistency.

Kitu chenye contradictions ambazo hazijatatuliwa, hakina logical consistency.

You have the opposite of logical consistency.

You have acontradiction.
 
Hapa umeeleza bila kuelezea sababu.

Hutakiwi kusisitiza logical consistency bila kuelezea sababu za vitu.

Sababu za vitu ndizo zinazoleta. consistency.

Because of this, that. The logic is consistent.

Wewe unaongelea logical consistency bila kutumia logical consistency.

Dhana ya kuwepo kwa Mungu wako ina contradictions. Contradictions ambazo hazijawa resolved.

Hivyo haina logical consistency.

Kitu chenye contradictions ambazo hazijatatuliwa, hakina logical consistency.

You have the opposite of logical consistency.

You have acontradiction.
Ndio maana nikakwambia huna hoja ya kufanya useme hakuna Mungu,unachokifanya ni kuforce tu. Haya lete hizo sababu zako halafu tuone ni vp kwa sababu useme hakuna Mungu.
 
Huwa tunafanya majaribio endapo kinachokuja kutokea hatukijui ama hatuna uhakika nacho,

Mungu anapokupa majaribu huwa hajui matokeo ya karibu hilo?

Na kama anajua majibu yatakavyokuwa, hilo jaribu huwa ni la nini?

Nikisema kuwa hizi habari za Mungu muweza yote,mjuzi wa yote na mwenye upendo kwenu kiasi cha kuwaahidi pepo ya milele hayupo na ni story tu nitakuwa nakosea wapi?
Mungu yupo na ndiye anayetuweka hai mpaka sasa ukiwa na imani ila kama huna ni sawa na kazi bure na ndo nyie mnaoamini kuwa hakuna Mungu nchi zingine wanaabudu masanamu na miti usiwe mpagani amini kama kifo kipo na pepo imo pia ndani yake utapanda ulichovuna hapa duniani.
 
Mungu yupo na ndiye anayetuweka hai mpaka sasa ukiwa na imani ila kama huna ni sawa na kazi bure na ndo nyie mnaoamini kuwa hakuna Mungu nchi zingine wanaabudu masanamu na miti usiwe mpagani amini kama kifo kipo na pepo imo pia ndani yake utapanda ulichovuna hapa duniani.
Nilichokuuliza hujajibu na ulichojibu sijakuuliza,unalijua hilo?
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom