UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,207
- 7,570
Hapana, si mimi ninayesema hivyo, hiyo ni logical consistency.
Unaelewa kwamba ninachoandika hapa si ninachotaka mimi, bali ni suala la logical consistency?
Unaikubali logical consistency au unaikataa?
Hujajibu maswali.
Ama huelewi mambo ya msingi kabisa. Ni mjinga.
Ama unaelewa unajifanya mjinga. Ni mshenzi.
Sasa wewe ni mjinga au mshenzi?
Logical consistency itatufikisha kufikia kusema kuwa tusingetakiwa kuwepo hapa Duniani Mungu angetuweka sehemu nyengine nzuri tofauti na duniani ambako si pazuri kuna corona na majanga mengine,na sababu ya kufanya hivyo ni kwamba Mungu anao uwezo wote hivyo anaweza kufanya hivyo.