#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Kwani katika imani yako wewe unafundishwa nini?
Alafu mkuu unakakiwa ujue kuna utofauti wa Religion, faith/believes na spirituality.... watu wengi mmekuwa mkivichanganya hv vitu mkidhani ni kitu kimoja. Sasa kabla hujamuuliza mtu swali km hyo inakupasa ujue kutofautisha hayo maeneo matatu!!!

Usiniulize vnatofauti gani tumia mda wako kujifunza maana sio vitu vya kuvielewa siku moja
 
Dini zote mifumo ya uendeshaji ni ile ile tu... watu wanashindwa kuelewa dini ni taasisi hakuna taasisi inajiendesha kwa hasara...!!! U


Alafu kinachoniuma hawa watu weupe waliotuletea dini hawatupendi sana lkn sisi kutwa kujifananisha na wao...!!! Unakuta unaambiwa jina la kwako la kiasili mfn ngonyani halina baraka limelaaniwa lkn jina la emmanuel, joseph , mariam, muhammad, aisha, yusufu ndio yamebarikiwa na sisi tusivyokuwa na akili tunaamin ni kweli ila hutakuta mzungu pale london anajiita kimweli au mwarbu saudia anajiita kimario yani ni utumwa tu umetutawala alufu tunatakaka tuendelee km nchi za ng'ambo
Ni upumbavu tu wa watu wasiojilewa unakuta jitu Zima limekaa eti linaamini muhamadi alipaa akaenda mbinguni kukabidhiwa swala 5 ... Ukimuambia thibitisha anabaki anatoa toa macho tu
 
Hii ni moja tu ya story mlizoskia kuhusu kufungwa kwa miskiti huko,lakin msikiti mkubwa wa nchi hiyo ushawahi kufungwa,hijjah ilisitishwa na miskiti mingi kufungwa.Hi ni moja ya strategies ambazo zimekuwa zikiendelea toka hii pandemic ianze,na pia kuna plan in action ndo maana wanaweza ku react kama kufunga miskit michache mda wowote sababu wana monitor. Watu wanapimwa ndo maana kesi zinajulikana haraka. Nchi nyingi zinazojielewa na kushughulika makini na hii pandemic wana 'plan of action' ili kufuatilia maambukizi mapya au 'new strains', uk kwa mfano washawahi kufunga maeneo baada ya kugundulika south African strain baadae wakafungua,kwa hiyo walivofanya wa saudi ni 'veryyyyy normal' kipindi hiki.
Kwa kuongezea Kingdom of Saudi Arabia washaanza kutoa chanjo ya Pfizer kwa watu wake mda sasa na wanashirikiana na taasisi za kimataifa kupambana na janga hili.
kumbe wanatumia chanjo ya mmarekani Mimi nilidhania kwamba wanatumia chanjo ambayo waliigundua wao wenyewe kwa kutumia mashekhe wao waliogundua dawa kutoka katika Qur'an itoshe tu kusema kwamba hizi dini Ni wizi mtupu katika nyakati Kama hizi ambazo ni nyakati ngumu kwa dunia hizi dini ndio zilipaswa kuja na majibu (suluhisho ) la matatizo yaliyopo na sio kukaa kusubiri tafiti za kisayansi ziwapatie dawa wao na waumini wao hizi dini Ni scam Ni utapeli mkubwa Sana kuwahi kutokea duniani
 
Imani Ni suala linalo taka uamini kitu au Jambo bila fact Wala logic ...so Mimi siwezi kufuata huo mkumbo kwa sababu Ni wajinga tu na wapumbavu ndio wanaoweza kuamini kitu / jambo bila fact Wala mantiki

Mfano ukiambiwa yunusi alinezwa na samaki halafu alitoka tumboni kwa samaki akiwa mzima Basi uamini tu bila logic wakati hicho Ni kitu Ambacho hakiwezekani
Sijakuelewa,wewe unaamini kwa fact au hauamini kabisa?
 
Kitu kuwa cha asili haina maana ndio ni sahihi au lazima utumie,mababu zetu katika kipindi chao walikuwa na majina yao wenyewe wakiitana ni jambo la kawaida hakuna cha ajabu kwenye majina ya watu si kwao wala hao waarabu na wazungu,kama hao wazungu majina yao unakuta yana asili tofauti tofauti ila sio issue kwao ila sie tumekazana kulilia majina yetu asili kana kwamba sijui yana maajabu gani. Chengine unakuta tunazikosoa din za waarabu na wazungu ila hizo dini/imani tunazoita za asili hatuzikosoi yani tumezikubali tu kwa kigezo ni za asili kwamba za mababu zetu hatuna haja ya kujua hao mababu zetu walizipata vp hizo imani na usahihi wake ni upi.
Poor you 'unapotumia majina ya asili ya jamii ya watu wengine unauwa utamaduni wako Unapoteza historia ya taifa lako na kizazi Chako kizazi kijacho kikija kitakosa history Bora kuhusu taifa lenu na kitashindwa kujivunia Jambo lolote lile toka ktk taifa husika ... Unapoilinda history ya nchi yako na utamaduni wako unakuwa umefanikiwa kuulinda uchumi wa nchi yako na Rasilimali zake pia au haya hauyafahamu unataka tuanze kukupa darasa
 
Sijakuelewa,wewe unaamini kwa fact au hauamini kabisa?
Mimi natumia fact situmii imani
Imani Ni kitu Ambacho kinataka uamini pasipo uwepo wa mantiki so ktik maisha yangu Mimi natumia mantiki situmii imani ukisha niambia kuwa na amini Basi inakuwa umenipachika sifa ya kupelekwa tu Kama ng'ombe wakati hiyo sio sifa yangu
 
Hayo unayoyaeleza ndio huwa unafanya kila ukienda hospitali kwamba yanawezekana kiuhalisia au unaeleza kinadharia?
Mkuu labda nkufahamishi mm n miongoni wanao operate ktk medical field so najua ethics za medical znataka nn...!!! Shida mifumo ya kiafrika inaendwa kitumwa inashia kuamini tu hataki kuhoji wenzetu nchi za nje mfumo upo hvyo.

Ni haki yako!!! Dr anatakiwa akieleze kutoka namaelezo uliyonipa nahic inawezekana utakuwa natatizo hili au hili au hili hvyo nashauri naomba tufanye vipimo hv... ww ndio wa kuamua dr anatakiwa akushirikishe kila kitu kuhusu afya yko hana haki ya kuchukua kipimo bila ww kujua au ridhaa yko... akifanya hvyo bila ww kutoa ridhaa yako au kukushirikisha una haki ya kumfungulia mashtaka!!! Sema kiafrika ndio hvyo mfumo wa kuamini bila kuohoji tunamuona dr nae km yehova a
 
kumbe wanatumia chanjo ya mmarekani Mimi nilidhania kwamba wanatumia chanjo ambayo waliigundua wao wenyewe kwa kutumia mashekhe wao waliogundua dawa kutoka katika Qur'an itoshe tu kusema kwamba hizi dini Ni wizi mtupu katika nyakati Kama hizi ambazo ni nyakati ngumu kwa dunia hizi dini ndio zilipaswa kuja na majibu (suluhisho ) la matatizo yaliyopo na sio kukaa kusubiri tafiti za kisayansi ziwapatie dawa wao na waumini wao hizi dini Ni scam Ni utapeli mkubwa Sana kuwahi kutokea duniani
Marekani nayo ni nchi ambayo kuna watu wa dini mbalimbali hata rais wa nchi hutakiwa kuapa na huwa wanatumia vitabu vya dini zao.
 
Def: ya Imani: Imani ni kukiri kwa dhati isiyo na shaka kuwa jambo fulani ni la kweli, kweli kabisa kabisa bila ushahidi wa kisayansi
Na hapa ndio shida inapoanzia...Sasa hapo mtu anawezaje kuthibitisha kitu kisicho na ushahidi?
Ukishasema bila ushahidi...huwezi tena kuthibitisha
 
Marekani nayo ni nchi ambayo kuna watu wa dini mbalimbali hata rais wa nchi hutakiwa kuapa na huwa wanatumia vitabu vya dini zao.
Ndio umeongea Nini Sasa hapa upo sawa kweli wewe upstairs

Thibitisha kwamba hiyo chanjo ya kutoka marekani imefanyiwa utafiti katika Qur'an ndio maana ikafanikiwa kupatikana
 
Mkuu labda nkufahamishi mm n miongoni wanao operate ktk medical field so najua ethics za medical znataka nn...!!! Shida mifumo ya kiafrika inaendwa kitumwa inashia kuamini tu hataki kuhoji wenzetu nchi za nje mfumo upo hvyo.

Ni haki yako!!! Dr anatakiwa akieleze kutoka namaelezo uliyonipa nahic inawezekana utakuwa natatizo hili au hili au hili hvyo nashauri naomba tufanye vipimo hv... ww ndio wa kuamua dr anatakiwa akushirikishe kila kitu kuhusu afya yko hana haki ya kuchukua kipimo bila ww kujua au ridhaa yko... akifanya hvyo bila ww kutoa ridhaa yako au kukushirikisha una haki ya kumfungulia mashtaka!!! Sema kiafrika ndio hvyo mfumo wa kuamini bila kuohoji tunamuona dr nae km yehova a
Mimi nazungumzia kuhoji sio kushirikishwa kuhusu kushirikishwa mbona sio tatizo tunashirikishwa,mimi nazungumzia kuhoji usahihi wa vipimo walichokupima pamoja na maelezo ya Daktari.

Kwa sababu hakuna watu wanaoaminiwa kama madktari na hii duniani kote.
 
wanasubiri nini kumuomba Mungu was awaepushe na Hilo janga?

Mkiambiwa dini Ni janja janja mnakataa
Mungu anataka wamuambudu... Watu wa mungu wanakutana kwenye nyumba za ibada kumubudu Mungu lkn Mungu huyo huyu tena analeta gonjwa la corona ambalo linawafanya watu wasikusanyike kwa ajili ya kumuabudu.

1. Sasa swali hv Mungu anataka abudiwe au asiabudie? Hv ijumaa nayo itaswaliwa majumbani
2. Km Mungu ameleta corona kama mtihani wa kipimo je anapima nn? Na huku anajua madhara ya alichokileta?
3. Watu wakikusanyika misikitini watapata corona watakufa. Je Mungu ni muuaji?

Yani huyu Mungu kwa kweli mambo yke yanachanganya
 
Mimi nazungumzia kuhoji sio kushirikishwa kuhusu kushirikishwa mbona sio tatizo tunashirikishwa,mimi nazungumzia kuhoji usahihi wa vipimo walichokupima pamoja na maelezo ya Daktari.

Kwa sababu hakuna watu wanaoaminiwa kama madktari na hii duniani kote.
Hv mkuu unasoma kwa makini nnachokiandika.. nimesema ndio ni haki yangu kuhoji!!! Sasa km ww hauoji shauri yko
 
Kuwa taka watu watafute tiba hata wewe ukiwa na mamlaka ya uongozi Ni lazima utawataka wasaidizi wako watafute suluhisho la matatizo yanayo izunguka jamii yako '' Mimi nilidhani muhamad na wasaidizi wake tayari walisha fanikiwa kutupatia majibu ya magonjwa yaliyopo wakati Huo na hata Yale ambayo yananitokeza Sasa kiasi kwamba tukifikwa tu na magonjwa fulani tunafunua Qur'an tunafanya tafiti na kuja na majibu ya dawa au Kinga zitakazo weza kuwaponya walimwengu badala yake kumbe na yeye alitoa maagizo tu Kama jinsi ambavyo huwa anafanya jiwe halafu maagizo hayo mwisho wa siku hayaleti impact yoyote ile katika jamiii sheeeesh!!!!
Kama wakristo tutaruhusiwa kuchangia. Bible inasema Mungu analinda watu wake ila haijasema analinda watu. Watu wa Mungu ni wapi? Bible inasema ni wale wanaoshika maneno yake wakati wote. Sas Mungu watu wake naamin bado anawalinda mpaka kesho ukitaka kishuhidia acha dhambi is as simple as that. Kumbuka sodoma na gomora Loth alimuacha mke wake akageuka jiwe la chumvi kwa sababu ya ukaidi ndo iwe watu wenye dhambi leo hii.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Poor you 'unapotumia majina ya asili ya jamii ya watu wengine unauwa utamaduni wako Unapoteza historia ya taifa lako na kizazi Chako kizazi kijacho kikija kitakosa history Bora kuhusu taifa lenu na kitashindwa kujivunia Jambo lolote lile toka ktk taifa husika ... Unapoilinda history ya nchi yako na utamaduni wako unakuwa umefanikiwa kuulinda uchumi wa nchi yako na Rasilimali zake pia au haya hauyafahamu unataka tuanze kukupa darasa
Mkuu kuwa kondoo ni hasara kuliko kitu chochote hapa dunia nimesoma maelezo ya jamaa yanasikitisha kwa kweli. Anajutukana hadharani kabisa eti majina yetu ya asili yanafaida gani... sasa naanza kuelewa kwann Magufuli anataka kuanzishwe somo la historia ya tanzania.. Daah inasikitisha
 
Back
Top Bottom