#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Kwa nini hili ni swali la this or that?

For a question to be a truly"this or that" question, there has to be mutual exclusivity.

Where is the mutual exclusivity in your question?

What is causing this mutual exclusivity?

Mnasema Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Kwa nini hakuweka maagizo yake yote katika DNA ya kila mtu anayezaliwa kwa namna ambayo hakuna mtu atakayehitaji kitabu, cha lugha yoyote, kuelewa Mungu anataka tuishi vipi?

Kwa nini tunategemea vitabu, vyenye matatizo mengi ya tafsiri, tamaduni na vyenye kuhojiwa authenticity yake, wakati Mungu aliweza kutupa maagizo yake straight kwenye DNA, kila anayezaliwa awe kazaliwa na maagizo yote ya Mungu, hata akizaliwa pasipo na kitabu awe hana haja ya kitabu?

Kwa nini huyo Mungu wenu hakufanya hivyo, kuweka maagizo yote kwenye DNA, badalq ya kutupa vitabu vyenye mizozo mingi, kama kweli yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
Uligusia kiarabu ndio maana nimeuliza tatizo ni lugha au kila mtu kuelewa?
 
Sasa nikuulize hapo endapo umesikia kuna tukio limetokea la baba(mwenye sifa hizo ulizozitaja) kuacha mlango wazi na wanawe kuliwa na simba,je ukisikia tukio hilo utasemaje?
Nitasema kwamba, dhana ya kwamba baba huyo yupo, ana uwezo wote, ana upendo wote, ana ujuzi wote ina makosa.

Ama hayupo, na kama yupo, haiwezekani awe na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Kwa sababu baba mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuacha mlango wazi Simba aingie ndani na kuwamaliza watoto wake anaowapenda ni contradiction.

Hujajibu swali.

Imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na ulendo wote kaachia Covid-19 isababishe misikiti yake ifungwe?

Kashindwa kuilinda misikiti na kuionesha dunia kwamba Mungu yupo, misikitini hakuna maambukizi ya Covid-19?
 
Uligusia kiarabu ndio maana nimeuliza tatizo ni lugha au kila mtu kuelewa?
Sasa sijakitaja kiarabu, umeelewa?

Hoja ni ile ile hata kama tunaongelea vitabu ya Kihindu vilivyoandikwa Ki Sankrist.

You seem to be distracred by detail and miss the big ideas.

Either that, or you are deliberately distracting yourself because you cannot answer the questions I ask.
 
Sasa sijakitaja kiarabu, umeelewa?

Hoja ni ile ile hata kama tunaongelea vitabu ya Kihindu vilivyoandikwa Ki Sankrist.

You seem to be distracred by detail and miss the big ideas.

Either that, or you are deliberately distracting yourself because you cannot answer the questions I ask.
Hoja yako ingekuwa na mashiko kama tutaangalia tu kwa sababu Mungu anao uwezo wa kufanya hivyo basi unaona ingetakiwa afanye hivyo,na hata huo ujumbe tutaona hauna maana muhimu itakuwa ni kuangalia tu kwanini kafanye hivi wakati alikuwa anao uwezo wa kufanya vile.
 
Hoja yako ingekuwa na mashiko kama tutaangalia tu kwa sababu Mungu anao uwezo wa kufanya hivyo basi unaona ingetakiwa afanye hivyo,na hata huo ujumbe tutaona hauna maana muhimu itakuwa ni kuangalia tu kwanini kafanye hivi wakati alikuwa anao uwezo wa kufanya vile.
Hakuna sababu logical kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aache viumbe wake anaowapenda na alioahidi kuwalinda watandikwe na Coronavirus mpaka misikitini, na wafikie kufunga misikiti.

Ukiweka dhana kwamba Mungu yupo halafu kaachia tu haya yatokee, unabakiwa na maswali mengi sana ya contradiction ambayo hayana majibu.

Ukiweka dhana kwamba Mungu huyo hayupo, ni stories za watu tu, unapata majibu ya maswali yote.

Swali: Kwa nini Coronavirus inaweza kuingia na kuambukizwa hata msikitini, sehemu ya kumuabudu Mungu mtakatifu? Mungu kashindwa kuizuia Coronavirus isiingie msikitini?

Jibu: Uwepo wa Mungu huyo ni hadithi tu, Mungu huyo hayupo kiuhalisia, ndiyo maana Mungu huyo hawezi kuzuia Coronavirus kuingia na kuambukizwa msikitini.Hayupo, na kwa hiyo, hawezi kuzuia Coronavirus kuingia msikitini wala kanisani.
 
Duuh mufunge misikiti ina maana hamuamini kwamba Mungu ni muweza wa yote hili ni jaribu tusiogope wapendwa wa kuogopwa ni Mungu pekeyake kama imepangwa hatuna namna kifo kipo kimeandaliwa kwa kila mmoja wetu hatuwezi kukikimbia cha msingi mimi kwa kwa upande wangu naona ibada ziendelee kama kawa ila elimu ya jinsi ya kujikinga na corona itifaki izingatiwe Asanteni 🙏🙏🙏
 
Hakuna sababu logical kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aache viumbe wake anaowapenda na alioahidi kuwalinda watandikwe na Coronavirus mpaka misikitini, na wafikie kufunga misikiti.

Ukiweka dhana kwamba Mungu yupo halafu kaachia tu haya yatokee, unabakiwa na maswali mengi sana ya contradiction ambayo hayana majibu.

Ukiweka dhana kwamba Mungu huyo hayupo, ni stories za watu tu, unapata majibu ya maswali yote.

Swali: Kwa nini Coronavirus inaweza kuingia na kuambukizwa hata msikitini, sehemu ya kumuabudu Mungu mtakatifu? Mungu kashindwa kuizuia Coronavirus isiingie msikitini?

Jibu: Uwepo wa Mungu huyo ni hadithi tu, Mungu huyo hayupo kiuhalisia, ndiyo maana Mungu huyo hawezi kuzuia Coronavirus kuingia na kuambukizwa msikitini.Hayupo, na kwa hiyo, hawezi kuzuia Coronavirus kuingia msikitini wala kanisani.
Wapi Mungu aliahidi kuwalinda?
 
Wapi Mungu aliahidi kuwalinda?
Mungu hakuahidi kuwalinda.

Kwa sababu hayupo.

Kama hayupo ataahidi vipi kuwalinda?

Na ndiyo maana hawalindi, wanaaambukizwa Coronavirus mpaka misikitini.


Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hana sababu yoyote ya kutowalinda viumbe wake anaowapenda, sehemu yoyote, mahali popote, hususan wanaokuja kumuabudu msikitini.
 
Takbiiir
Saudia wapuuzi hawa. Imani nayo imewapungua sana kwa kupenda starehe za dunia.
Wati wameonekana na korona tu mnafungua msikiti.Hata hawajafa.Na kama wakifa hata 100 bado wawache watu wafie humo huku wakiabudu.
Mbona masoko na mabaa yako wazi.Na hawajachunguza vizuri corona ukiingia nayo msikitini hasa pale haramu inakufa yenyewe.
 
Hujajibu hoja yangu.

Kwa nini Mungu hakuweka habari zake zote kwenye DNA kiasi mtu yeyote anayezaliwa popote muda wowote awe nazo zote bila kuhitaji kitabu wala kujua kusoma wala kufundishwa chuo?

Hujajibu swali hili.
Kwasababu amewapa watu akili, yaani ubongo kuweza kupata hizo habari,na ndio maana mimi na wewe tunajadili huu mjadala kwa kuwa tuna ubongo na habari imetufikia.
 
Hujajibu hoja yangu.

Kwa nini Mungu hakuweka habari zake zote kwenye DNA kiasi mtu yeyote anayezaliwa popote muda wowote awe nazo zote bila kuhitaji kitabu wala kujua kusoma wala kufundishwa chuo?

Hujajibu swali hili.
Kwasababu amewapa watu akili, yaani ubongo kuweza kupata hizo habari,na ndio maana mimi na wewe tunajadili huu mjadala kwa kuwa tuna ubongo na habari imetufikia.
 
Kwasababu amewapa watu akili, yaani ubongo kuweza kupata hizo habari,na ndio maana mimi na wewe tunajadili huu mjadala kwa kuwa tuna ubongo na habari imetufikia.
Mara unasema Quran imeandikwa Kiarabu tafsiri zina matatizo.

Mara unasema Mungu kawapa watu akili.

Kama kawapa watu akili, mbona hakuwapa watu wote akili ya kujua Kiarabu bila kufundishwa wala kutegemea tafsiri?

Huyo Mungu muweza yote mbona kashindwa kufanya mambo madogo tu?

Kashindwa kuiweka Quran katika DNA watu wasihitaji vitabu.

Kaiweka Quran katika vitabu, lakini kuna utata wa tafsiri, na kashindwa kuwapa watu wote ujuzi wa kiarabu.

Wewe huoni hapa hizi habari za huyu Mungu ni za kuunga unga tu?

Mungu huyu yupo kweli? Au mnapigiana hadithi tu?
 
Mungu hakuahidi kuwalinda.

Kwa sababu hayupo.

Kama hayupo ataahidi vipi kuwalinda?

Na ndiyo maana hawalindi, wanaaambukizwa Coronavirus mpaka misikitini.


Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hana sababu yoyote ya kutowalinda viumbe wake anaowapenda, sehemu yoyote, mahali popote, hususan wanaokuja kumuabudu msikitini.
Sasa kwanini ulisema kaahidi?suala la wewe kusema hakuna Mungu huo ni mtazamo wako sasa usichomeke ya uongo ili tu kulazimisha huo mtazamo,unaleta tuhuma za Mungu kutotimiza ahadi kwa kusema Mungu kaahidi kuwalinda kumbe sivyo.

Tatizo lako umeshikilia hizo sifa za Mungu tu kila kinachokujia kichwani unataka kifanyike kwa sababu tu Mungu ana uwezo wote,kwa mtazamo kama huo basi utakuja kusema haina haja Mungu kuwalinda angefanya tukaishi kwengine kabisa tofauti na duniani kwa sababu tu Mungu anao uwezo huo.
 
Mara unasema Quran imeandikwa Kiarabu tafsiri zina matatizo.

Mara unasema Mungu kawapa watu akili.

Kama kawapa watu akili, mbona hakuwapa watu wote akili ya kujua Kiarabu bila kufundishwa wala kutegemea tafsiri?

Huyo Mungu muweza yote mbona kashindwa kufanya mambo madogo tu?

Kashindwa kuiweka Quran katika DNA watu wasihitaji vitabu.

Kaiweka Quran katika vitabu, lakini kuna utata wa tafsiri, na kashindwa kuwapa watu wote ujuzi wa kiarabu.

Wewe huoni hapa hizi habari za huyu Mungu ni za kuunga unga tu?

Mungu huyu yupo kweli? Au mnapigiana hadithi tu?
Hakutaka iwe ambavyo ungependa iwe, yeye anajua sababu za kuweka hivo. Yeye anauliza maswali wala haulizwi.
 
Hakutaka iwe ambavyo ungependa iwe, yeye anajua sababu za kuweka hivo. Yeye anauliza maswali wala haulizwi.
Unaweza kuthibitisha ni kweli hakutaka iwe hivyo na yupo at all na kwamba hizo habari za "hakutaka iwe hivyo" si hadithi tu?
 
Sasa kwanini ulisema kaahidi?suala la wewe kusema hakuna Mungu huo ni mtazamo wako sasa usichomeke ya uongo ili tu kulazimisha huo mtazamo,unaleta tuhuma za Mungu kutotimiza ahadi kwa kusema Mungu kaahidi kuwalinda kumbe sivyo.

Tatizo lako umeshikilia hizo sifa za Mungu tu kila kinachokujia kichwani unataka kifanyike kwa sababu tu Mungu ana uwezo wote,kwa mtazamo kama huo basi utakuja kusema haina haja Mungu kuwalinda angefanya tukaishi kwengine kabisa tofauti na duniani kwa sababu tu Mungu anao uwezo huo.
Unaelewa kwamba ninachoandika hapa si ninachotaka mimi, bali ni suala la logical consistency?

Unaikubali logical consistency au unaikataa?
 
Unaelewa kwamba ninachoandika hapa si ninachotaka mimi, bali ni suala la logical consistency?

Unaikubali logical consistency au unaikataa?
Ni wewe pia ndio unasema habari za Mungu kufanya kila binaadamu kuujua ujumbe wake bila kufundishwa na mtu na hoja ni kwamba Mungu anao uwezo huo,ndiyo maana nakwambia kwa mitazamo kama tutafika hadi kusema kuwa tusingetakiwa kuwepo hapa Duniani Mungu angetuweka sehemu nyengine nzuri tofauti na duniani na sababu ni kwamba Mungu anao uwezo huo.
 
Ni wewe pia ndio unasema habari za Mungu kufanya kila binaadamu kuujua ujumbe wake bila kufundishwa na mtu na hoja ni kwamba Mungu anao uwezo huo,ndiyo maana nakwambia kwa mitazamo kama tutafika hadi kusema kuwa tusingetakiwa kuwepo hapa Duniani Mungu angetuweka sehemu nyengine nzuri tofauti na duniani na sababu ni kwamba Mungu anao uwezo huo.
Hapana, si mimi ninayesema hivyo, hiyo ni logical consistency.

Unaelewa kwamba ninachoandika hapa si ninachotaka mimi, bali ni suala la logical consistency?

Unaikubali logical consistency au unaikataa?

Hujajibu maswali.

Ama huelewi mambo ya msingi kabisa. Ni mjinga.

Ama unaelewa unajifanya mjinga. Ni mshenzi.

Sasa wewe ni mjinga au mshenzi?
 
Back
Top Bottom