#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

That is a cyclical logical fallacy.
No it's not, huwezi kutumia maandiko ya binaadam ambae amejaa mapungufu halafu kumkanusha alie muumba. Kila mtu anauwezo wake wa kureason hatupo sawa. Kilichokuwa proved today kupitia source za wanaadamu zinaweza kuonekana na makosa badae.
Allah yupo kwasababu amesema yupo katika maneno yake, ambayo wewe huyaamini, na ameweka alama na dalili mbalimbali kuwasadia watu waamini uwepo wake.
 
Kwa hiyo sio muhimu mtu kuwa na imani ili muujiza utendeke?
biblia inasisitiza kuombeana ko mzazi wako akikuombea kama ana imani Mungu anajibu maombi yake. Kwahyo kama mzazi kakuombea ufufuke jibu lake mbele za Mungu litakuwa ni lipi?
Kwani lipi ambalo sio plan mbele za mungu wakati yeye ndio mpangaji wa kila kitu na hakuna kitu kinafanyika bila yeye kukiruhusu?

Halafu

Kama ilikua ni plan hao mafarisayo waliomsulubu yesu kwa kumfanyia ubaya walikuwa wanafanya hayo kwa hiari yao au kwa kulazimika kufata plan ya mungu ambayo hawakuweza kuiepuka kwasababu aliipanga before?
Mungu ni mwema wakati wote ndugu yangu. Mungu hapaki ubaya hata siku moja kama ulisikia hivyo ulipata fundisho tofauti kidogo na fundisho la kristo. Mungu anajua ubaya wetu ila hapangi ubaya wetu. Shetani alikuwa ameunderestimate uwezo wa Mungu wa kuona mbali hivo aliposikia swala la Yesu kuzaliwa aliamua kutuma watu wake waje wamdhuru ili lengo lisitimie kumbe nd anachochea lengo. Umeshaambiwa kuwa funga na kusali usiingie majaribuni well ukiingia ni shauri yako maan unaweza tumika kuokoa wenzio kwa kupoteza nafsi yako. Tuongoke ndugu yangu Yesu anakuja yu karibu watu wanafarakana mabalaa ya nchi yanaongeka njaa na kila mateso. Je hyo inakupa kiashiria gani.
Umekombolewa na nini?
Na dhambi.
So una maanisha watu waliokufa kabla yake hawajakombolewa?
Walikuwepo manabii walitenda kwa nafasi yao hivo sisi niseme naam tuna bahati sana maan kaja mkuu zaidi ya hao manabii.
Halafu

Ungeokolewa kusingekua na dhana ya moto baada ya kifo?
Moto ni kwaajili ya wakaidi 2 ili kufuta dhambi kabisa.
He just died for nothing that's why the hell is there waiting for you
Hell is not for everbody but the wicked only.
Lengo la yesu lilikua ni lipi?
Kuokoa maelfu na maelfu ya watu dhidi ya kikombe cha gadhabu ya Mungu.
Maana ku preach kulianza kabla yake way back huko nyuma enzi za kina mussa
Mussa alikuwa mwanadamu hivo alikuwa hatimizi 100% matakwa ya Mungu hivo kutumwa mkuu zaidi kuliko yeye naam nae ni neno bwana. Nd maan kipindi cha Mussa watu walivomuasi Mungu waliumwa na nyoka lakini Vipi mimi n wewe sahv tukimtenda Mungu hata kibao hatuguswi.
Hawakumuweza wakati alichezea kipigo mpaka akawa analia eloi eloi?
Kwanza kile kipigo mti mimi na wewe ndugu yangu tusingefika msalabani maan pale alivokiona kile kipigo hali ya mwili ilikosa courage ila soul ilikuwa pure kuliko maelezo. Nd maan jiwe la uzani wake lilikula mbanga kwa hasira alizokuw nazo angemkuta farisayo pale hali isingekuw nzuri ila Mungu ni wa Rehema lengo lilikuwa kuokoa mwanadamu sio kumwangamiza( hapo jokes kdg upate concept)
Au mimi sijakuelewa ubaposema hawakumuweza unamaanisha kumuweza kupi?
Sas Mungu unadhani Muoga kama wewe apange kuteswa afu atumie ubabe akimbie nani angemuelewa sas hapo?
Misumari imekufanya uishi kwa neema gani?
Ndyo badala ya kupigwa mawe nikizini ila sasa naambiwa niseme tu Nampokea Yesu kuwa mwokozi wangu na kubatizwa kwa maji mengi napokea uzima wa milele.
Neema ipi unayoipata baada ya yesu kupigwa misumari?
Jibu moja na hapo juu. Ahsante.
 
No it's not, huwezi kutumia maandiko ya binaadam ambae amejaa mapungufu halafu kumkanusha alie muumba. Kila mtu anauwezo wake wa kureason hatupo sawa. Kilichokuwa proved today kupitia source za wanaadamu zinaweza kuonekana na makosa badae.
Allah yupo kwasababu amesema yupo katika maneno yake, ambayo wewe huyaamini, na ameweka alama na dalili mbalimbali kuwasadia watu waamini uwepo wake.
Hiyo Quran una uhakika gani kwamba si maandiko ya watu tu?

Na kama si mandiko ya watu tu, kwa nini ina contradictions nyingi sana?
 
Hiyo Quran una uhakika gani kwamba si maandiko ya watu tu?

Na kama si mandiko ya watu tu, kwa nini ina contradictions nyingi sana?
Quran haina contradictions bali fahamu za watu ndio zinacontradiction juu ya walivyo fahamu Quran.
 
Hiyo Quran una uhakika gani kwamba si maandiko ya watu tu?

Na kama si mandiko ya watu tu, kwa nini ina contradictions nyingi sana?
Si unafaham kama Quran ina translations? Sasa hizi ndio unaweza kuona kama zina contradictions, na nyenginezo wala hazipo sahihi.
 
Si unafaham kama Quran ina translations? Sasa hizi ndio unaweza kuona kama zina contradictions, na nyenginezo wala hazipo sahihi.
Quran kuhitaji translation ni ushahidi kwamba Mungu hayupo.

Unaelewa hilo?
 
Quran kuhitaji translation ni ushahidi kwamba Mungu hayupo.

Unaelewa hilo?
Imeshushwa kwa lugha ya kiarabu brother, na Quran ina aya za aina mbili, najua huku nitakupoteza so sitaki nizame sana. Ninachokiona ulitumia muda mdogo sana kutafuta ukweli, kwa miaka zaidi ya 25 bado nausoma uislamu.
You got brain Kiranga use it.
 
Imeshushwa kwa lugha ya kiarabu brother, na Quran ina aya za aina mbili, najua huku nitakupoteza so sitaki nizame sana. Ninachokiona ulitumia muda mdogo sana kutafuta ukweli, kwa miaka zaidi ya 25 bado nausoma uislamu.
You got brain Kiranga use it.
Unaelewa habari nzima ya kwamba "Quran imeshushwa kwa lugha ya Kiarabu" inaonesha huyo Mungu hayupo, na kwamba hiyo dini ni ukoloni wa kiutamaduni tu wa Waarabu?

Ushawahi kujiuliza kwa nini Allah asiweke maneno yote ya kwenye Quran katika DNA ya kila mtu, kwa lugha yake huyo mtu, kila mtu anapozaliwa, ili hata wasiojua Kiarabu waweze kuijua Quran bila kuhitaji tafsiri na mizozo inayotokana na tafsiri?
 
Unaelewa habari nzima ya kwamba "Quran imeshushwa kwa lugha ya Kiarabu" inaonesha huyo Mungu hayupo, na kwamba hiyo dini ni ukoloni wa kiutamaduni tu wa Waarabu?

Ushawahi kujiuliza kwa nini Allah asiweke maneno yote ya kwenye Quran katika DNA ya kila mtu, kwa lugha yake huyo mtu, kila mtu anapozaliwa, ili hata wasiojua Kiarabu waweze kuijua Quran bila kuhitaji tafsiri na mizozo inayotokana na tafsiri?
Uislamu haukuanza uarabuni,bali Mtume Muhammad peace be upon him, alikuja kuhitimisha idadi ya Mitume iliyopita kabla yake ambao hawakuwa waarabu, suala la lugha ukisoma unaelewa. Na wala hutakua na shaka, Islam is an intellectual religion, inamtaka muumini asome ili asiabudu kibubusa.
 
Quran inasema kwamba Allah ni mwenye rehema nyingi, mwenye upendo usio kifani.

Sasa imekuwaje Allah mwenye rehema nyingi na upendo usio kifani anaachia maambukizi ya Covid-19 yawezekane mpaka msikitini kiasi watu wasimamishe ibada misikitini?

Si angefanya hata Coronavirus ishindwe kuingia msikitini watu tujue Uislamu ni dini ya kweli na Allah anawalinda waumini wake?

Allah kashindwa kuwalinda waumini wake dhidi ya Corinavirus mpaka misikitini?
Hizo sifa ulizozitaja za Allah hapo tupo sawa kabisa ila tatizo linakuja hapo kwenye kufanya corona ishwende kuingia msikitini au kuwalinda na corona hapo ndio nimetaka kujua je aliahidi hivyo?
 
Unaelewa habari nzima ya kwamba "Quran imeshushwa kwa lugha ya Kiarabu" inaonesha huyo Mungu hayupo, na kwamba hiyo dini ni ukoloni wa kiutamaduni tu wa Waarabu?

Ushawahi kujiuliza kwa nini Allah asiweke maneno yote ya kwenye Quran katika DNA ya kila mtu, kwa lugha yake huyo mtu, kila mtu anapozaliwa, ili hata wasiojua Kiarabu waweze kuijua Quran bila kuhitaji tafsiri na mizozo inayotokana na tafsiri?
Tatizo lako ni Qur'an kuwa ya kiarabu au watu wote kuelewa Qur'an?
 
biblia inasisitiza kuombeana ko mzazi wako akikuombea kama ana imani Mungu anajibu maombi yake. Kwahyo kama mzazi kakuombea ufufuke jibu lake mbele za Mungu litakuwa ni lipi?
nipe reference kutoka kwenye biblia ikisisitiza
Mungu ni mwema wakati wote ndugu yangu. Mungu hapaki ubaya hata siku moja kama ulisikia hivyo ulipata fundisho tofauti kidogo na fundisho la kristo.
Mungu sio mwema wakati wote kwa maana aliua kila mtoto wa kwanza katika kila familia kwenye nchi ya misri pamoja na mifugo

Mungu anajua ubaya wetu ila hapangi ubaya wetu.
hapana sio kweli

Hapo juu umesema tukio la yesu kusulubiwa lilikua ni mpango na ilikua ni lazima lifanyike

Sasa wale mafarisayo walikuwa wanauwezo wa kuepuka kumfanyia ubaya yesu?

Kama ilikua ni plan hao mafarisayo waliomsulubu yesu kwa kumfanyia ubaya walikuwa wanafanya hayo kwa hiari yao au kwa kulazimika kufata plan ya mungu ambayo hawakuweza kuiepuka kwasababu aliipanga before?

Addition

controller wa huu ulimwengu ni Mungu chochote kitachofanyika lazima kiombe ruhusa kwake na yeye ndio anakiidhinisha kifanyike au kisifanyike.

Kila kitu hufanyika kwa sababu hata kama sababu hiyo isitambulike machoni mwetu

Mungu akiwa na uwezo wa kujua tukio litalofanyika baadae halafu asilizuie jambo hilo ambalo ni baya, atakuwaje ni Mungu mwenye upendo wote na rehema zote kwa wakati wote kwa viumbe wake?

ukisema kuna vitu vinafanyika without his will hapo unakua umemshusha viwango Mungu anaonekana sio controller kwasababu kuna vingi vinampita
Shetani alikuwa ameunderestimate uwezo wa Mungu wa kuona mbali hivo aliposikia swala la Yesu kuzaliwa aliamua kutuma watu wake waje wamdhuru ili lengo lisitimie kumbe nd anachochea lengo.
kumbuka hata hayo mawazo ya shetani ya kuchukulia poa uwezo wa Mungu, Mungu alikwisha kuyaona hata kabla hajamuumba huyo shetani.

Kwa maana hiyo Mungu angeweza kusitisha zoezi la kumuumba shetani kama hakupendezewa na hiyo tabia ya shetani ambayo itakuja kutokea mbeleni.

Mpaka Mungu anamuumba shetani inamaana alikwisha pima na kuridhika na kwa point hiyo chochote anachokifanya shetani kinakua kimeruhusiwa na Mungu.

Umeshaambiwa kuwa funga na kusali usiingie majaribuni well ukiingia ni shauri yako maan unaweza tumika kuokoa wenzio kwa kupoteza nafsi yako.
kwani ni vibaya?

kwa hiyo hapo juu ulipo sema yesu alikufa kwa kuokoa wengine maana yake yeye hakujiokoa?
Tuongoke ndugu yangu Yesu anakuja yu karibu watu wanafarakana mabalaa ya nchi yanaongeka njaa na kila mateso. Je hyo inakupa kiashiria gani.
njaa, mateso, mifarakano na mabalaa yamekujaje wakati yesu alikufa msalabani kwa ajili ya kutukomboa?
Na dhambi.

Walikuwepo manabii walitenda kwa nafasi yao hivo sisi niseme naam tuna bahati sana maan kaja mkuu zaidi ya hao manabii.
bahati gani?

Moto ni kwaajili ya wakaidi 2 ili kufuta dhambi kabisa.
hapana moto sio kwa ajili ya kufuta dhambi kwakua sio temporary punishment

you've been promised to be tortured in hell for the rest of your life, spending your whole life in prison does not mean one you will gonna be released to go home

Na ndio maana ukaitwa moto wa milele
Hell is not for everbody but the wicked only.
how did wicked come to be while we are all saved by Jesus through crucifixion?

Did he die for nothing?
Kuokoa maelfu na maelfu ya watu dhidi ya kikombe cha gadhabu ya Mungu.

Mussa alikuwa mwanadamu hivo alikuwa hatimizi 100% matakwa ya Mungu hivo kutumwa mkuu zaidi kuliko yeye naam nae ni neno bwana.
kipindi cha mussa mabalaa yalikuwepo na baada ya ujio wa yesu hayo mabalaa yapo

sasa alikuja kutimiza nini?

Nd maan kipindi cha Mussa watu walivomuasi Mungu waliumwa na nyoka lakini Vipi mimi n wewe sahv tukimtenda Mungu hata kibao hatuguswi.
kwani kipindi cha mussa watu walikuwa wanakufa kwa corona, kaswende, ukimwi, cancer, typhoid, malaria?

Na mungu anakuambia mshahara wa dhambi ni mauti, kwa mwaja jana zaidi mamilioni ya watu wamekufa kwa corona pekee hapo bila kuhesabu watu waliokufa kwa magonjwa mengine.



Kwanza kile kipigo mti mimi na wewe ndugu yangu tusingefika msalabani maan pale alivokiona kile kipigo hali ya mwili ilikosa courage ila soul ilikuwa pure kuliko maelezo. Nd maan jiwe la uzani wake lilikula mbanga kwa hasira alizokuw nazo angemkuta farisayo pale hali isingekuw nzuri ila Mungu ni wa Rehema lengo lilikuwa kuokoa mwanadamu sio kumwangamiza( hapo jokes kdg upate concept)
kumuokoa dhidi ya kipi?
Sas Mungu unadhani Muoga kama wewe apange kuteswa afu atumie ubabe akimbie nani angemuelewa sas hapo?
hujaelewa hoja yangu

Wewe umesema yesu aliwashinda mafarisayo licha ya kwamba Hakuwa na wanajeshi wenye silaha kali. Mimi nikakuuliza aliwashinda kwa lipi wakati mafarisayo walifanikisha kutekeleza adhma yao ya kumtesa hadi kumuua?

Ndyo badala ya kupigwa mawe nikizini ila sasa naambiwa niseme tu Nampokea Yesu kuwa mwokozi wangu na kubatizwa kwa maji mengi napokea uzima wa milele.
saud arabia mpaka leo ukizini unapigwa mawe mpaka kufa, kama yesu alitumwa kwasababu mussa hakua na 100% ya kufanya kwa utimilifu iweje kuwe na imperfection wakati yeye anafanya kwa viwango vya juu bila kukosea?
Jibu moja na hapo juu. Ahsante.
rudi ujibu tena
 
Tatizo lako ni Qur'an kuwa ya kiarabu au watu wote kuelewa Qur'an?
Kwa nini hili ni swali la this or that?

For a question to be a truly"this or that" question, there has to be mutual exclusivity.

Where is the mutual exclusivity in your question?

What is causing this mutual exclusivity?

Mnasema Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Kwa nini hakuweka maagizo yake yote katika DNA ya kila mtu anayezaliwa kwa namna ambayo hakuna mtu atakayehitaji kitabu, cha lugha yoyote, kuelewa Mungu anataka tuishi vipi?

Kwa nini tunategemea vitabu, vyenye matatizo mengi ya tafsiri, tamaduni na vyenye kuhojiwa authenticity yake, wakati Mungu aliweza kutupa maagizo yake straight kwenye DNA, kila anayezaliwa awe kazaliwa na maagizo yote ya Mungu, hata akizaliwa pasipo na kitabu awe hana haja ya kitabu?

Kwa nini huyo Mungu wenu hakufanya hivyo, kuweka maagizo yote kwenye DNA, badalq ya kutupa vitabu vyenye mizozo mingi, kama kweli yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
 
Hizo sifa ulizozitaja za Allah hapo tupo sawa kabisa ila tatizo linakuja hapo kwenye kufanya corona ishwende kuingia msikitini au kuwalinda na corona hapo ndio nimetaka kujua je aliahidi hivyo?
Baba mwenye uwezo wa kuwalinda wanawe, mwenye upendo wa kuwalinda wanawe, na mwenye ujuzi wa kuwalinda wanawe.

Akiwa na uwezo wa kufunga mlango Simba asiingie ndani ya nyumba yake na kuwala wanawe.

Akaacha mlango wazi, Simba akaingia ndani ya nyumba, na kuwala wanawe.

Utauliza kama aliahidi kuwalinda wanawe?

Huo ninwajibu wake unaotikqna na charactwristics zake za ubaba, uwezo, ujuzi na upendo. Watoto wakikiwa na Simba, hizo characteristics zote zinawekewa question mark.

Zaidi.

Hizi hapa ahadi za Allah, kwa mujibubwa maandiko mnahosema ninyake.

Allah says:

And your Lord said: “Invoke Me and I will respond to your invocation…”

Qur’an 40[Gafir]:60

Watubwanamuomba Covid-19 iishe. Lakini hajawasikiliza. Matokeo yake hata huko misikitini inawapiga watu.

Huyu Allah yupo kweli au tunazugana tu?

Allah (SWT) says:

“Therefore remember Me and I will remember you. And be grateful to Me and never be ungrateful to Me.”

Qur’an 2[Baqarah]:152

Watu wanamkumbuka Allah wanaenda msikitini kupiga dua. Lakini Allah kawasahau kawaacha wanatandikwa na Covid-19 mpaka wanafunga misikiti.

Allah (SWT) says:

And Allah would not punish them while you (Muhammad ﷺ) are amongst them, nor will He punish them while they seek (Allah’s) Forgiveness.

Qur’an 8[Anfal]:33

Allah kasema ukiomba msamaha hatakuhukumu. Watu wanakwenda misikitini na kuomba msamaha lakini Allah kashindwa hata kuzuia wasipatwe na Covid-19.

Baba gani anaachia wanawe wauawe kwa mafungu na pandemic mpaka wanafunga nyumba yake wakati ananuwezo wa kulizuia?

Huyu Allah yupo kweli au ninstories tu?
 
Uislamu haukuanza uarabuni,bali Mtume Muhammad peace be upon him, alikuja kuhitimisha idadi ya Mitume iliyopita kabla yake ambao hawakuwa waarabu, suala la lugha ukisoma unaelewa. Na wala hutakua na shaka, Islam is an intellectual religion, inamtaka muumini asome ili asiabudu kibubusa.
Hujajibu hoja yangu.

Kwa nini Mungu hakuweka habari zake zote kwenye DNA kiasi mtu yeyote anayezaliwa popote muda wowote awe nazo zote bila kuhitaji kitabu wala kujua kusoma wala kufundishwa chuo?

Hujajibu swali hili.
 
Baba mwenye uwezo wa kuwalinda wanawe, mwenye upendo wa kuwalinda wanawe, na mwenye ujuzi wa kuwalinda wanawe.

Akiwa na uwezo wa kufunga mlango Simba asiingie ndani ya nyumba yake na kuwala wanawe.

Akaacha mlango wazi, Simba akaingia ndani ya nyumba, na kuwala wanawe.

Utauliza kama aliahidi kuwalinda wanawe?

Huo ninwajibu wake unaotikqna na charactwristics zake za ubaba, uwezo, ujuzi na upendo. Watoto wakikiwa na Simba, hizo characteristics zote zinawekewa question mark.

Zaidi.

Hizi hapa ahadi za Allah, kwa mujibubwa maandiko mnahosema ninyake.

Allah says:

And your Lord said: “Invoke Me and I will respond to your invocation…”

Qur’an 40[Gafir]:60

Watubwanamuomba Covid-19 iishe. Lakini hajawasikiliza. Matokeo yake hata huko misikitini inawapiga watu.

Huyu Allah yupo kweli au tunazugana tu?

Allah (SWT) says:

“Therefore remember Me and I will remember you. And be grateful to Me and never be ungrateful to Me.”

Qur’an 2[Baqarah]:152

Watu wanamkumbuka Allah wanaenda msikitini kupiga dua. Lakini Allah kawasahau kawaacha wanatandikwa na Covid-19 mpaka wanafunga misikiti.

Allah (SWT) says:

And Allah would not punish them while you (Muhammad ﷺ) are amongst them, nor will He punish them while they seek (Allah’s) Forgiveness.

Qur’an 8[Anfal]:33

Allah kasema ukiomba msamaha hatakuhukumu. Watu wanakwenda misikitini na kuomba msamaha lakini Allah kashindwa hata kuzuia wasipatwe na Covid-19.

Baba gani anaachia wanawe wauawe kwa mafungu na pandemic mpaka wanafunga nyumba yake wakati ananuwezo wa kulizuia?

Huyu Allah yupo kweli au ninstories tu?
Sasa nikuulize hapo endapo umesikia kuna tukio limetokea la baba(mwenye sifa hizo ulizozitaja) kuacha mlango wazi na wanawe kuliwa na simba,je ukisikia tukio hilo utasemaje?
 
Back
Top Bottom