Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
Jambo hili linanishangaza sana, Serikali inajua kwamba waislamu wanatafuta ugomvi wanapokuja kujenga karibu na makanisa lakini wanawaruhisu kufanya hivyo. Kuna mifano mingi tu ktk mitaa yetu, utakuta kanisa lilikuwa mahali siku nyingi na baadae jamaa hawa wanakuja na kuanza kujenga jirani kabisa na kanisa na serikali zinawaruhusu wakati wanajua kwamba hawa wanatafuta uchokozi.
Pale Kariakoo bondeni baada ya klabu ya Yanga kuna kanisa limejengwa siku nyingi tu, lakini mwaka mmoja uliopita waislamu wakaanza kujenga msikiti hapa na hapa kabisa! Uongozi wa lile kanisa ulijaribu kupita huku na huko kuomba msaada ili jamaa wasijenge pale kuepusha shari huko mbele lkn walishindwa. Serikali ya Mtaa, mpaka kwa Mkuu wa Wilaya jamaa walikwenda lakolini nao hawakuweza kuwastopisha waislamu kujenga pale.
Mimi naona ni mkakati wa waislamu kuwafuata wakrito kwa karibu, na bila shaka wanapaya sapoti kutoka juu bila kujali madhara yake.
Kwa nini wanapenda kujenga misikiti karibu sana na makanisa? Kwa nini Serikali inaruhusu hili huku wakijua kwamba hawa jamaa ni wachokozi, sio wavumilivu, Mungu wao anaruhusu kuua kwa kisingizio cha kutetea imani?
KWA KWELI NCHI YETU INAHARIBIWA NA VIONGOZI
Pale Kariakoo bondeni baada ya klabu ya Yanga kuna kanisa limejengwa siku nyingi tu, lakini mwaka mmoja uliopita waislamu wakaanza kujenga msikiti hapa na hapa kabisa! Uongozi wa lile kanisa ulijaribu kupita huku na huko kuomba msaada ili jamaa wasijenge pale kuepusha shari huko mbele lkn walishindwa. Serikali ya Mtaa, mpaka kwa Mkuu wa Wilaya jamaa walikwenda lakolini nao hawakuweza kuwastopisha waislamu kujenga pale.
Mimi naona ni mkakati wa waislamu kuwafuata wakrito kwa karibu, na bila shaka wanapaya sapoti kutoka juu bila kujali madhara yake.
Kwa nini wanapenda kujenga misikiti karibu sana na makanisa? Kwa nini Serikali inaruhusu hili huku wakijua kwamba hawa jamaa ni wachokozi, sio wavumilivu, Mungu wao anaruhusu kuua kwa kisingizio cha kutetea imani?
KWA KWELI NCHI YETU INAHARIBIWA NA VIONGOZI