Misibani: "Kama kuna mtu anayemdai marehemu aseme sasa hivi" mwana JF gani aliwahi kwenda??

Haileti picha nzuri kusimama na kesema namdai marehemu. lazima uwe na moyo wa ujasili sana kufanya ilo tukio hafifu. Unless liwe deni kubwa kama ni milioni 10 sema milioni 5 hiyo 5 ni kama rambi rambi.

Tusinye misiba ni mahali pa kupatia kipato.
 
Haileti picha nzuri kusimama na kesema namdai marehemu. lazima uwe na moyo wa ujasili sana kufanya ilo tukio hafifu. Unless liwe deni kubwa kama ni milioni 10 sema milioni 5 hiyo 5 ni kama rambi rambi.

Tusinye misiba ni mahali pa kupatia kipato.
Hakuna atakaekataa kua kitendo cha Mtu kutokwa na uhai ni tukio lakuhuzunisha sana, nahakuna anaeombea hilo.

Tukija kwenye mtazamo wa kudai au kudaiwa hapa lazima kutakua na utofauti wa mitazamo.

Unaweza kuta kuna pesa uliikopesha kwa marehemu na nyingi kiasi uliokua na mipango nayo na amekuahidi kuirudisha siku flani,

pamoja na kutokea kwa msiba lakini mazingira yanaonesha kua kunauwezekano wa kuipata ile fedha kutokana na hali za wafiwa zinavyoonesha,amini mimi nitaidai ili nifanikishe makusudio yangu,maisha nilazima yaendelee.

Kudai pesa kwa marehemu kunategemea na mazingira halisi yaliyopo ya uliekopesha na aliekopeshwa,kuacha kudai pesa huku ukisononeka moyoni ilhali kulikua na uwezekano wakulipwa ni kujitesa mwenyewe.

Nivizuri zaidi kusamehe madeni ya marehemu bila kinyongo ili kupata thawabu kutoka kwa Muumba.
 
Hakuna atakaekataa kua kitendo cha Mtu kutokwa na uhai ni tukio lakuhuzunisha sana, nahakuna anaeombea hilo.

Tukija kwenye mtazamo wa kudai au kudaiwa hapa lazima kutakua na utofauti wa mitazamo.

Unaweza kuta kuna pesa uliikopesha kwa marehemu na nyingi kiasi uliokua na mipango nayo na amekuahidi kuirudisha siku flani,

pamoja na kutokea kwa msiba lakini mazingira yanaonesha kua kunauwezekano wa kuipata ile fedha kutokana na hali za wafiwa zinavyoonesha,amini mimi nitaidai ili nifanikishe makusudio yangu,maisha nilazima yaendelee.

Kudai pesa kwa marehemu kunategemea na mazingira halisi yaliyopo ya uliekopesha na aliekopeshwa,kuacha kudai pesa huku ukisononeka moyoni ilhali kulikua na uwezekano wakulipwa ni kujitesa mwenyewe.

Nivizuri zaidi kusamehe madeni ya marehemu bila kinyongo ili kupata thawabu kutoka kwa Muumba.
P O I N T
 
Huyo mwenyekiti hayupo sahihi. Huwa inatangazwa kuwa anayemdai au anayedaiwa na marehemu afike kwa wanafamilia ili kurekebisha. Lkn si kujitokeza mbele ya kadamnasi!
 
Nafikiri hilo ni kosa walipaswa kuwaelekeza wanaodai au kudaiwa na marehemu kuwana viongozi wa familia kwaajili ya kulipa au kulipwa kwa ushahidi kama lazima ingawa katika maisha ya kibongo pesa huwa tunakopeshana kwa kuaminiana huwa hatusaini mikataba hivyo unayemdai akifa inakuwa shida sana kupata haki yako lakini wakati mwingine unaingiwa na huruma hasa kwakuwa mlishibana na marehemu hivyo unaona si vema kuwadai wafiwa hasa kwakuwa hali za kiuchumi za familia zetu tunazijua ni dhoofu na hapo kama alikukopesha ni vizuri kulipa kuisaidia familia
Wanauliza hilo swali na pia wanaeleza baadae utawaona ndugu wa marehemu kwa anayedai na kudaiwa
 
Nafikiri hilo ni kosa walipaswa kuwaelekeza wanaodai au kudaiwa na marehemu kuwana viongozi wa familia kwaajili ya kulipa au kulipwa kwa ushahidi kama lazima ingawa katika maisha ya kibongo pesa huwa tunakopeshana kwa kuaminiana huwa hatusaini mikataba hivyo unayemdai akifa inakuwa shida sana kupata haki yako lakini wakati mwingine unaingiwa na huruma hasa kwakuwa mlishibana na marehemu hivyo unaona si vema kuwadai wafiwa hasa kwakuwa hali za kiuchumi za familia zetu tunazijua ni dhoofu na hapo kama alikukopesha ni vizuri kulipa kuisaidia familia
Exactly na hii ndio wa Tanzania tulivyo, hata uwe na umasikini kiasi gani ile situation ya kwamba jamaa ameshakufa inakupa simanzi unaamua kusamehe tu ukiamini unapata na baraka. Unless liwe deni lilishiba na lenye mikataba hapo ndipo taratibu za kisheria hufuatwa ili kupata stahiki zako
 
Haileti picha nzuri kusimama na kesema namdai marehemu. lazima uwe na moyo wa ujasili sana kufanya ilo tukio hafifu. Unless liwe deni kubwa kama ni milioni 10 sema milioni 5 hiyo 5 ni kama rambi rambi.

Tusinye misiba ni mahali pa kupatia kipato.
Mi huyu mtu hata akifa wapi ntasimama na nikitangulia ntaacha usia anilipe
 
Juzi tu kwenye msiba kuna mtu anamdai marehemu watu kimya mara tatu tumemaliza kuzika mtu anakuja mimi namdai marehemu
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom