utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Katika kipindi cha hivi karibuni kumeibuka tabia ya ajabu sana ya wanasiasa kutumia misiba kama mtaji wa kisiasa. tabia hii sio ya kiungwana wala sio utu, na sio ubinadam. wapenda haki na usawa wa kibinadam tunapinga na kukemea jambo hili kwa jina la aliye juu mwingi wa rehema na amani.
Hii tabia kuanzia Luck Vicent hadi Moshi na kwingineko ishindwe na ilegee
Hii tabia kuanzia Luck Vicent hadi Moshi na kwingineko ishindwe na ilegee