msem
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,832
- 1,627
Exactly mkuu!!Point.... Anguko la wengi ni kutaka kuridhisha mitazamo ya binadamu kusahau ya kuwa anaekusifu kwa ufahari ndie huyo huyo atakaekunanga kwa ufukara.
Exactly mkuu!!Point.... Anguko la wengi ni kutaka kuridhisha mitazamo ya binadamu kusahau ya kuwa anaekusifu kwa ufahari ndie huyo huyo atakaekunanga kwa ufukara.
you are in deep waters!If your close relative dies and you don't have enough money, you are in tall water!
Halafu akifa ndio ndugu wanajitokeza kukodi mziki, mpiga picha, magari, waliaji na kununua jeneza la bei kubwa achilia mbali vyakula na vinywaji. Gharama utakuta inaenda kwenye mil 3 wakati hela ya kumtibu iihitajika laki 4 tu lakini hakuna aliywkuwa tayari kutoa.kinachoniumiza ni pale mgonjwa alikosa hela ya matibabu ikapelekea kifo aisee acha tu
inaumiza sanaHalafu akifa ndio ndugu wanajitokeza kukodi mziki, mpiga picha, magari, waliaji na kununua jeneza la bei kubwa achilia mbali vyakula na vinywaji. Gharama utakuta inaenda kwenye mil 3 wakati hela ya kumtibu iihitajika laki 4 tu lakini hakuna aliywkuwa tayari kutoa.
Wallah nimecheka eti kila goti litapigwaHili suala litaisha tu automatically kwa mwendo huu wa JPM kila goti litapigwa
Nakwambia ndugu, we acha kabisaWallah nimecheka eti kila goti litapigwa
Hata ya kiislamu niliwahi ona sare mdau madira fuli kujifukiza .Si misiba ya kiislam.
Juzi hapa nimehudhuria msiba watu wamevaa sare
Misiba ya siku hizi ni soo unakuta mtoto kafiwa na mzazi wake tena kijana tu eti ndio msoma risala sijui hizo nguvu wanazipataga wapi kizazi cha laana hichiInabidi hata watu wa kulia nao uwakodi,maana siku hizi wana ndugu huwa hawalii huwa wanafikiria tu namna ya kugawana mali za marehemu.
ni kweli ila ni kwa wenye nazo km huna kitu huwezi fanya hivyo, pande hii ukifa leo unazikwa leo na ni vikombe vya chai tu vinatembeaMisiba siku hizi Ina Kamati za Mapambo,muziki,vinywaji na vyakula,sare za wafiwa,MC,Video na Picha,Maturubai na Viti,Jeneza na gari la kubeba mwili ...n.k.
Gharama ya shughuli nzima inaweza kufikia mamilioni ya shilingi.
Ilhali misiba ya zamani ilikuwa ni mikeka,waimba kwaya,majirani kujitolea kupika,maturubai yalikuwa yanatolewa bure,jeneza hutengenezwa kwa gharama nafuu...n.k.
Kupanga ni Kuchagua.
Misiba siku hizi Ina Kamati za Mapambo,muziki,vinywaji na vyakula,sare za wafiwa,MC,Video na Picha,Maturubai na Viti,Jeneza na gari la kubeba mwili ...n.k.
Gharama ya shughuli nzima inaweza kufikia mamilioni ya shilingi.
Ilhali misiba ya zamani ilikuwa ni mikeka,waimba kwaya,majirani kujitolea kupika,maturubai yalikuwa yanatolewa bure,jeneza hutengenezwa kwa gharama nafuu...n.k.
Kupanga ni Kuchagua.
Kweliinaumiza sana