miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,971
kumbe ndiyo maana ukamfungulia siredi kisa amekusifia bahili wewe ... ha hahahaAfadhali leo tusio na hela tunaonekana wa maans.
kumbe ndiyo maana ukamfungulia siredi kisa amekusifia bahili wewe ... ha hahahaAfadhali leo tusio na hela tunaonekana wa maans.
kweli shost zama pale kapigwa za uso .huo ndo ukwelisakayo ukiangalia kwa jicho fulan sio kichwa kile shost ! baba aliwah niambia olewa na mtu unaeendana naye sio mume phd holder wewe form 4 atakutesa !na ndo kitakachotokea kwa zama ! yaan piga ua atafurahia ndoa kwa muda mfupi sana ! hajachagua aiseee ! weee!
Mbona wamemwacha mishen town asiezeeka kamwe hapa JF na Onstagram the Bahariaz? You know!sawa misheni town wenzio wanakuja, Hivi na huko USA ndo hivi hivi?
Miss Natafuta na wenzako, ina maana Le Baharia hamumuoni ama ni ubaguzi mamboleo?Wanaume wenye kazi zao, elimu nzuri sijui hela hawataki kutuoa. Wanataka watugegede wee!
Wenzenu hatutaki uzinzi mwishowe tuje tufie lodge tuzikwe kwa aibu, tunataka kufanya ibada ya ndoa. Any nearby available single mishen town?
Ila usiniambie wewe ni mtoto wa katelephone njoo na uhalisia wako nitakupa mtaji wa kuuza chapati au nitakununulia bodaboda na mahari utakayompa mzee wangu maana atanipa mzee hapendi kula mahari yule.
Mahari yako ndio mtaji wako.
We endelea kutafuta wa kuendana nae utakuja kushtukia ulimwengu mzima umebakia wewe uliyepotea na hakuna atakaye kutafutakweli shost zama pale kapigwa za uso .huo ndo ukweli
Sakayo watu hawaelewi maana ya ndoa,ndoa si kuendana vimo wala vipato, ndoa si kuendana tabia wala uzuriWe Unaweza Sema sio Kumbe mwenzako kuna alichompendea. Watu hatufanani best, ndo maana Unaweza ona mke na mume wanafuatana unajiuliza kampendea nini huyu???!! Lakinii ndo chaguo lake. Tumuombee aishi kwa amani na mumewe ndo walishachaguana hivyo!!!!
Hakuna ndoa yenye amani kwa wanandoa kujihisi wanaendana, matokeo hayo ya kujiona una PhD na yeye ana PhD ni wote kujihisi mna sauti sawa ya kimalaka ndani ya nyumba! Usiwadanganye wenzio hapasakayo ukiangalia kwa jicho fulan sio kichwa kile shost ! baba aliwah niambia olewa na mtu unaeendana naye sio mume phd holder wewe form 4 atakutesa !na ndo kitakachotokea kwa zama ! yaan piga ua atafurahia ndoa kwa muda mfupi sana ! hajachagua aiseee ! weee!
Amina mamy, siku zoote mwanaume mwenye upendo lazima akuweke Karibu na Mungu, hakuna binadamu asiye na madhaifu ndo maana ya kupewa mwenzi wa kusaidiana nae!!!Sakayo watu hawaelewi maana ya ndoa,ndoa si kuendana vimo wala vipato, ndoa si kuendana tabia wala uzuri
Ndoa ni Muunganiko wa amri ya M/Mungu na litakalodumisha ndoa ni uvumilivu baina ya mmoja wao! Naweza kua na mke au mume fyatu kweli kweli lakini mmoja wao awe mvumilivu! Mmoja wao awe fala tu basi kila kitu hata kama kimeharibika kitaonekana kipo sawa! Tumuombee Zamaradi awe na uvumilivu katika ndoa yake kwa hali yoyote atakayoipitia basi afunge swala na arejeshe machozi yake kwa M/Mungu yeye atampa nafuu
Hhahahahaaaaaaa, ngoja aje kukujibu mpakaajaze server.Mbona wamemwacha mishen town asiezeeka kamwe hapa JF na Onstagram the Bahariaz? You know!
Papuchi haiwezi mwacha mtu salama,inawezekana huyo bint kwa viuno ni hatari,mtu mzima hawezi lia hivi hivi bureila jamaa katutia aibu wanaume, analia kama mtoto mdogo ,duh!
kweli shost zama pale kapigwa za uso .huo ndo ukweli
Hakuna ndoa yenye amani kwa wanandoa kujihisi wanaendana, matokeo hayo ya kujiona una PhD na yeye ana PhD ni wote kujihisi mna sauti sawa ya kimalaka ndani ya nyumba! Usiwadanganye wenzio hapa
Kikubwa TUMUOMBEE mwanamke mwenzetu baada ya Allah kumtimizia hitaji lake na hitaji la wanawake wote wenye kuelewa thamani ya ndoa basi akawe mtulivu,msikivu na zaidi Mvumilivu kwa Mumewe, akapende ndugu wa mumewe sawa sawa anavyowapenda ndugu zake na zaidi azidishe ibada kwani sasa swala zake Mtume Muhammad atazipokea pasipo shaka yoyote
Siku zote nawakalipia wanawake wanaotaka usawa na wanaume,sipendi nyumba ziwe na makelele na ili kuepusha hilo wanawake hatuna budi kujinyenyekeza kwa wenza wetu, though ni maoni yako lakini wapo watakao yachukua hivyo hivyo matokeo yake wataharibu nyumba zaomamy unajibu kwa jazbaaa nawadanganya ili iweje ? hayo ni maoni yangu mie MBITI sio wewe
Siku zote nawakalipia wanawake wanaotaka usawa na wanaume,sipendi nyumba ziwe na makelele na ili kuepusha hilo wanawake hatuna budi kujinyenyekeza kwa wenza wetu, though ni maoni yako lakini wapo watakao yachukua hivyo hivyo matokeo yake wataharibu nyumba zao
Iko wapi hiyonclip mtu mzima anafanya uchuro?ila jamaa katutia aibu wanaume, analia kama mtoto mdogo ,duh!
nasubiri jibu lake mkuuHhahahahaaaaaaa, ngoja aje kukujibu mpakaajaze server.