mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
naomba kufahamu mishahara yetu itakuwa sh ngapi kwa mimi graduate nileanza kazi mwezi wa 3?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we fanya kazi kwa bidii mengine baadae
Piga kazi weweee fanya madili mengine piA
mishahara yetu itakuwa laki ngapi, naomba kujua wakuu, nilianza kazi mwaka huu mwezi wa 3 na mshahara wa tsh 532,000 kwa mwezi
kodi ikipungua, na posho ikawa japo %30 ya mshahara ambao hautakatwa kodi yyt itasaidia
kwa hiyi mshahara wangu wa 532,000 +30%+punguzo la kodi, na nyngeza rasmi ya mshahara katika hali ngumu hii ya maisha kama 80,000
=kuna uwezekano wa mshahara kuwa 830,600/= basic ikikatwa na CWT,NHIF na PAYEE sikosi 700,000