Mishahara ya wabunge: Dk. Slaa amshukia JK

Wabunge Wote Ni weak Na weziwa kutumainiwa km wamedai Na kuridhia ongezeko hili. Na mwizini mwizi tu awe Wa upinzani AMA Wa chama tawala
 
Haya yote ni matokeo ya Tanzania kukaliwa na watu wenye kutojua nini uchumi wa Nchi yao unatakiwa kufanyiwa ili ulete ustawi kwa Taifa hili.Hili linajidhihilisha hata kwenye mtandao huu amabako ungetegemea kupata mawazo endelevu ya jinsi gani ya kupata majibu ya matatizo haya lakini hebu anagalia Wachangiaji wa mada hii ndani ya Mtandao huu.
Inashangaza Kuona Watanzania na hata Wabunge wao wanavyoshabikia kufanikiwa katika maisha bila hata kufanya kazi.
Hebu tufikirie hawa Wabunge wetu wanafanya kazi gani yenye tija ndani ya nchi hii inayoharalisha waweze kulipwa tofauti hiyo ya viwango vya mishahara na posho?.Ni uchumi gani tulio nao unaoweza kuwalipa Wabunge kiwango hicho cha mishahara na posho pamoja na malupulupu yao wamalizapo mihula yao?.Hakika hawa si Wabunge bali ni Majambazi walioamua kuwanyang'anya masikini vipato vyao vidogo kupitia kodi na baadaye wao kuzigawana.
Katika hali ya kawaida ingetegemewa akitokea mtu akaonyesha Wananchi uonevu huu astahili pongezi lakini kwa Watanzania wanaoishi kwa kuhesabu miaka yao tu bila kuangalia uwepo wa Taifa hili na vizazi vijavyo kwao hili si tatizo.
 
Naona Nape kaongeza ajira ya mataahira wake ambao wapo kupinga na kuponda kila kitu chenye nia ya ku-uamsha Uma juu ya madudu ya jk na serikali yake. Mbwa mnyama wa ajabu sana, kwa mshahara wa ukoko yuko radhi alale nje amlinde bwana wake!
 
pampafu wewe slaa wanayekuita dr kweli umeishiwa zinakuuma. Ungekuwa mbunge na wewe ungepata. Mbona 7m ambazo na wewe ulishiriki kujilipa husemi. Acha kupata pressure wambie mbowe na wife wake wakuongezee na wewe .nakukumbu$ha mkataba mliokubaliana na cdm juu ya masharti ya kuwa vuvuzela wao. Lazima wakulipe 11m soon. Acha wivu wa k... Mzee.
Acha majungu,Dr. analipwa kwa kazi yake, unadhani hiyo kazi ya uvuvuzela ni ndogo? His responsibilities are well known. Hata apewe 20M hakuna ubaya, he is doing a lot for this country. Amezungumzia ujinga wa Kiwete kusign nyongeza ya wabunge na hakusema wabunge ccm. Kwa akili yako ndogo ulitaka aseme wabunge wa cdm wagomee hizo posho ndo ungemuona ana akili
 
Naomba zomba aje hapa aseme analolijua yeye maana niliandika haya akabisha kana kwamba hajui sisi wengine watoto wa mujini..
 
Last edited by a moderator:
huyu Padri mwongo sana mbona hasemi chadema yeye wanamlipa shilingi ngapi? kama sio mshahara huo huo wa mbunge? mtu huyu ndio alikuwa anategemewa awapeleke wakristo kwa mungu, kazi kweli kweli!!!


hapa kuna tatizo la ulewa, maana walimu madakitari, na kada nyingine, kuongewa mishara na marupurupu menigine linatakiwa liende kwa usawa kwa kada zote na si kwa wabunge tu, hapa muidhinishaji ni rais .juzi kumekuwa na ulalamishi wa walimu na madaktari kulalamikia sitahiki hizo ,na serikali kusema haina uwezo wa kifedha, iweje leo wabunge iwe na uwezo kada zingine haina uwezo?ubaguzi na matabaka ya sitahiki ni kutengeneza bomu la mdororo wa morali,na kuongeza malalamiko mengi hasa kwa wanyonge ambao hutegemea kada hizo ili kupata huduma.hata hivyo, masilahi ya dr.slaa yanatolewa na rais kikwete? je vyama vyote sitahiki zao kama ccm zao zinamliwa na rais kikwete kama mtendji wa serikali?na je dr.slaa kupewa sitahiki hizo, zinathiri nn utendaji wa walimu na madaktari?hapa mdau tufikirie uzlendo na maslahi ya umma hasa kuwahurumia wanyonge na si kuweka ubinafsi kwa maslahi ya kujijenga kisiasa.majibu yako si ya kizalendo ni uropokaji.
 
Lakini Dr Slaa si analipwa na CDM si serikali!yeye ni mtendaji mkuu wa chama,wale wapiga usingizi nao duu hasa vitumaalum wale ni janga la taifa
 
Tatizo ulikuw analo wewe, mimi nilisema kile kilichotokea ukabisha kuwa sii kweli, mara zote ukweli will prevail japo hakuna Justice..

Dr. Slaa hapo amewatia changa la macho, "mshahara na marupurupu", kabla ya hapo ulikuwa ngapi? weka brakdown uone mnavyofanywa misukule na Slaa. Mbona yeye hasemi fedha anazoikopa chadema kumjengea Josephine?
 
Serikali ya sanaa na wasanii haiwezi kuwa na vipaumbele vyenye tija kwa taifa.Serikali ya Jk imejaa ushabiki na umimi,ila kila jambo lina mwanzo na mwisho tusubiri tone mwisho wao hawa wakoloni weusi
 
yeye mbona anakula 7m na hakuna anae lalamika. Huyu mzee kweli ni Mnafiki.

pia yeye kama katibu mbona anapewa ruzuku kubwa (chama chake) sawa na ccm na hakuna cha maana anachofanyia kama ilivyo kwa ccm (hebu atwambie ccm na cdm unaweza ukawatofautisha vipi? maana inaonekana vyote hivi ni mzigo kwa watanzania
 
huyu Padri mwongo sana mbona hasemi chadema yeye wanamlipa shilingi ngapi? kama sio mshahara huo huo wa mbunge? mtu huyu ndio alikuwa anategemewa awapeleke wakristo kwa mungu, kazi kweli kweli!!!

Uongo wake ni kuwa mishahara ya wabunge haikupanda hadi mili 11 kwani yeye amesemaje? Si amesema imepanda wakati ya wafanyakazi weingine imekamatwa at ceteris paribus!
 
pia yeye kama katibu mbona anapewa ruzuku kubwa (chama chake) sawa na ccm na hakuna cha maana anachofanyia kama ilivyo kwa ccm (hebu atwambie ccm na cdm unaweza ukawatofautisha vipi? maana inaonekana vyote hivi ni mzigo kwa watanzania

Angalau Chadema wanasimama na wananchi kufichua wanahujumu nchi yetu. Tena wanatetea watu wanyonge wakati ccm inatetea mafisafi tu!
 
Dr. Slaa hapo amewatia changa la macho, "mshahara na marupurupu", kabla ya hapo ulikuwa ngapi? weka brakdown uone mnavyofanywa misukule na Slaa. Mbona yeye hasemi fedha anazoikopa chadema kumjengea Josephine?

tafadhali kwanza rudi kwenye hoja je ni kweli rais Kikwete amepandisha mishahara ya wabunge na marupurupu hadi mil 11. Kama imepanda ni dhahiri ya awali ilikuwa ndogo.
 
Angalau Chadema wanasimama na wananchi kufichua wanahujumu nchi yetu. Tena wanatetea watu wanyonge wakati ccm inatetea mafisafi tu!

Inawezekana wanasimama kuwasemea wananchi kisaniii pia maana kwa sasa lugha inazidi kuwa gongana mara fedha zilizofichwa uswisi na cdm wamo!! mara zitto na rushwa? mara hiki mara kile na hapo hawajapewa zamana lakini wanainteract to that extent je wakipewa?
 
CCM ni janga na kero kubwa sana TZ.
t

tukiondoa ushabiki wa vyama hapa kwa mtazamo wangu kama huu unaosemwa na Padre tena ni Dr ni ukweli ni dhaaihiri hatuna wawakilishi bungeni bali tinawapigania uhurubinafsi bunge sasa laonyesha ukomavu wake ktk maslahi yao binafsi wabunge wote bila kujali vyama vyao waungangana utadhani amefariki mmoja wao!! inanikumbusha kale kawimbo ka posho wapigania uhurubinafsi walituimbia kwamba hawataki posho wakiujua ukweli wamelamba advance ya 5yrs watanzania tuangalie vizuri ukweli wa mambo wanasiasa watatudanganya saaaaana kwa mtindo huuu!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom