Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Jana WAZIRI MKUI kawasimamisha VIGOGO wa WIZARA ya FEDHA kwa WIZI wa Sh.1.6 Bil. Ndani ya Miezi 2 lakini WAZIRI MKUU huyo huyo Yuko BUNGENI na WABUNGE 19 Waliofukuzwa na CHADEMA hivyo Kupoteza SIFA ya kuwa WABUNGE kwa Mujibu wa KATIBA lakini SERIKALI yake INAWALIPA MISHAHARA huo nao ni WIZI