Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
- Thread starter
- #21
Tumia Akili Dogo Katiba ya Ccm inasemaje kuhusu mgombea Urais? Membe KWANINI Alifukuzwa Ccm Kikatiba alikuwa na Haki ya Kugombea lakini Mwendazake kwa Udikteta wake AkamfukuzaHivi kwanini msianze na katiba ya chadema kwanza maana mimi sielewi katiba ya chadema inamruhusu Mbowe kuwa mwenyekiti wa milele nakakigeuza cha kama taasisi au mali yake na pia saccos yake mngeanza na hayo kwanza ndio mjemfatilie katiba ya nchi