salisalum
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 418
- 136
Halafu halipi kodi.Weka Link
Halafu halipi kodi.Weka Link
Uhakika ndio tizi neneMshahara wa raisi c alisemaga ni 15M kwa mwezi.
Mshahara wa raisi c alisemaga ni 15M kwa mwezi.
Reliable source?Mshahara wake ni $192,000 kwa mwaka sawa na milioni 444,288 kwa mwaka na mshahara ndiyo pia alikuwa akipata Kikwete. Kutokana na siri kubwa ya mshahara huu si ajabu umeshaongezwa kimya kimya maana ungepunguzwa jamaa anavyopenda sifa angeweka hadharani.
Reliable source?
🤣BAK and you can take that to the Bank.
Ni kweli mkuu.Inabidi kwanza tuachane na utaratibu wa wabunge kujiidhinishia maslahi yao wenyewe; hii haiendani na mantiki yeyote ya kawaida, achalia mbali utawala bora!
Hata kama angepewa tsh 100000 (laki moja kwa mwezi) bado ingekuwa nyingi sana kwa hayo marupu rupu anayoyapata.Honestly Rais wa Tanzania kulipwa 9m ni kudhalilisha taasisi husika, binafsi sitaki kuamini km jiwe analipwa pesa hiyo!
For rumors ni Kwamba Tanzania president is on the highly paid Presidents in Africa!
Mshahara wa Rais na GM wa barrick Buzwagi ipo sawa🤣🍻🍻Niliona hapa, kama sikosei kwenye topic moja kuhusu mkapa, mdau moja alisema mshahara wa rais ni $12,000 kwa mwezi.
Kama nimekosea naomba nirekebishwe
Uongozi ni wito ila kwa sasa imekua ajira ambayo watu wanauana,wanatekana na kuumizana kwa kulinda nafasi zao kwa maana wanaamini wamekosa asili hiyo na wanafosi kwaajili ya mishahara tuu na ndio madhaifu yanapoanzaiKuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani?
Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika.
Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.
Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?
Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Muwe mnaweka fedha za kitanzania wazee mambo ya dola tunachanganyanaNiliona hapa, kama sikosei kwenye topic moja kuhusu mkapa, mdau moja alisema mshahara wa rais ni $12,000 kwa mwezi.
Kama nimekosea naomba nirekebishwe
Uongozi Tanzania ni unyang'anyi, ufedhuli, ubedui, ujambazi, nk. Ndiyo tafsiri sahihi kwa sasa.Uongozi ni wito ila kwa sasa imekua ajira ambayo watu wanauana,wanatekana na kuumizana kwa kulinda nafasi zao kwa maana wanaamini wamekosa asili hiyo na wanafosi kwaajili ya mishahara tuu na ndio madhaifu yanapoanzai
Sahihi kabisa mkuu,lakini pia ni Africa NzimaUongozi Tanzania ni unyang'anyi, ufedhuli, ubedui, ujambazi, nk. Ndiyo tafsiri sahihi kwa sasa.
,Sahihi kabisa mkuu,lakini pia ni Africa Nzima