Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Kama ni kweli kuna shida, yaani rais wa Tanzania apokee pesa kwa dolari badala ya shilingi za ki-Tanzania. Hiyo si sawa.
Tujitahidi kufatilia kwanza watanzania, so tunatoa story za mtaan ambapo wengi so wafatiliaji, mshahara wa rais wa sasa ni shilingi za kitanzania million 9tzs, = dola 4008$ = shilingi za Kenya 400,800ksh.
 
Ikiwa mkuu wa wilaya analipwa 5m per month,Fanya kupanda kwa RC,kisha mawaziri,manaibu,waziri mkuu,mkuu wa majeshi,makamo Raisi+Raisi mwenyewe!!With that being said,na ukizingatia si bara la giza,acha tubaki gizani tu maana hawajauweka wazi maksudi KBS kwakua wanajua reaction ya wananchi itakuaje+Nitakua ni suala LA kisiasa
 
Ikiwa mkuu wa wilaya analipwa 5m per month,Fanya kupanda kwa RC,kisha mawaziri,manaibu,waziri mkuu,mkuu wa majeshi,makamo Raisi+Raisi mwenyewe!!With that being said,na ukizingatia si bara la giza,acha tubaki gizani tu maana hawajauweka wazi maksudi KBS kwakua wanajua reaction ya wananchi itakuaje+Nitakua ni suala LA kisiasa
Dc ni raisi kwenye wilaya mbona umemshusha hapo kwa mkuu wa majeshi .cdf anampigia saluti dc
 
Mkuu si kweli cdf anampigia salute dc,
Cdf hata mkuu wa mkoa hampigii salute,
Kwanza ni ngumu kukutana

Cdf anampigia salute waziri kwenda juu
Dc ni raisi kwenye wilaya mbona umemshusha hapo kwa mkuu wa majeshi .cdf anampigia saluti dc
 
Mbona kwenye ile hotuba ya ikulu jiwe alisema kuwa kwa mwezi mshahara wake ni 9mil
 
Honestly Rais wa Tanzania kulipwa 9m ni kudhalilisha taasisi husika, binafsi sitaki kuamini km jiwe analipwa pesa hiyo!

For rumors ni Kwamba Tanzania president is on the highly paid Presidents in Africa!
 
Nchi zetu maskini tunafkiri hela ni power au kutokuwa na hela ni kudhalilisha taasisi! Tuangalie ulaya kwa wakubwa. 1. Teresa May -£150,402.00
2.Rais wa Ufaransa- €21194,52
3.Brasil Rais - 120,000 USD
4.Uganda Rais - 183,000 USD.
God Bless Africa not its current people
 
Eaqaq,sswwwsweem,sez,eqwasss'3aese
You have no idea how imperative and critical what you are pointing out is.

Tanzania hakuna records (hata hati ya Muungano imepotea). Rekodi zenyewe ndio hizi za simulizi simulizi. Nina hakika mbeleni huko kuna vizazi vitakuja kutafiti haya tunayoandika humu (thanks to Invisible and cohort) in order to piece together our history. Sasa wakikuta mwandishi mmoja ambae ana hold sway kubwa sana anasema vitu oulandish vya ajabu halafu hawi called out tutaoneka kizazi chote ma heathen!

Ila nichaoomba kukuuliza sio kuhusu mtu mmoja, ni kuhusu jamii ya Watanzania kwa ujumla.

Hivi unadhani ni kwa nini FMES na uongo wake wote huu bado an garner support ya watu wanaosubiri dataz zake? I mean kuna watu kabla ya kuchangia kitu huwa wanaandika "FMES njoo utupe dataz kwenye hii mada..." na vitu kama hivyo.

Ni kwamba watu hawaijui Bongo na siasa kiasi hicho, au ? Fundi, hear me out on this, Field Marshall anasema, kwa mfano, mafao ya safari za nje za viongozi kama vile kwenda kutibiwa yamo kwenye Katiba! Hivi unahitaji kuwa constitutional scholar kugutuka kwamba safari za Rais mstaafu zitaingiaje kwenye Katiba?

Au ni watu kuhofia hivyo vigezo vya ukaribu na Wakubwa, kusaidiwa kubatiziwa watoto wake na kina Asha Migiro, kama anavyodai. Lakini, mmmh! Angalia hili, anasema anakutana na kina Rupia na Mke wake wanampa dataz, halafu anawaalika nao wajiunge JF. Kwa maneno mengine, Rupia na Mkewe wanajua kwamba analeta hizo data JF. Think about it, Rupia na Mkewe wakijua kwamba huyu Mja tukimpa dataz anapeleka kwenye public forum halafu anatutaja kwamba ni sisi tumempa unadhani kweli, Fundi, huyo Rupia na Mke wake na kina Migiro na wengine ni wapumbavu kiasi gani mpaka wawe wanaendelea kumpa FMES dataz? Au, kwenye sakata la Ballali akasema ameongea na dada yake mjane, na akaonyesha anataka privacy yake. Lakini akaendelea kuja na dataz kutoka kwa hao hao wanaomwambia wanataka privacy halafu anawaanika hapa, na saa nyingine anawachana na kuwachana. Ina maana hawezi tena kurudi kwa hao Wakubwa kuchukua dataz kwa sababu baadae anawatandika shutuma na kuwaanika, sasa watakuwa vipi kila siku wamuibie siri za serikali ? Kiongozi hawezi kuwa mjinga kiasi hicho kumpa dataz mtu kama FMES, hata awe karibu nae kivipi, hata awe Mama wa Ubatizo wa wanae, hata awe baba yake mzazi.

Sasa kwanini Umma unashindwa kuona kwamba FMES anatengeneza data mwenyewe?

Eti Katiba inasema viongozi wakatibiwe nje...! How preposterous is that.
d'Qaamawaawss3sswwssseaeok(sswdz3sawdxzw~saw@wawassssssswzsdwasej

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Broo Kumbe muhenga humu. Hongerasana. Uzi huu una zaidi ya miaka 10
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: _ID
59 Reactions
Reply
Back
Top Bottom