Mishahara ya viongozi wa Tanzania

1444562932514-jpg.297470

Kumlipa rais dola 192,000 ni uendawazimu kwa nchi kama Tanzania, kazi gani anayofanya hadi alipwe hivyo?
Kuongoza nchi ni kazi sana.
 
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Kama huamini mshahara wa $200000, itakuaje hiyo mishahara ya watumishi wengine


Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo nayo ni siri kubwa Watanzania hatistajili kuijua!!! Tunajua mshahara wa Rais wa Marekani lakini hatujui mshahara wa Rais wetu!!!! Bill clinton ndiye alikwa Rais wa mwisho wa Marekani kupokea mshahara wa $200,000 kwa mwaka alipomaliza awamu yake ya miaka minane mwaka 2000. Kuanzia 2001 mshahara wa Rais wa marekani uliongezwa na kufikia $400,000 kwa mwaka. Kama kumbu kumbu zangi ni nzuri walidai wameoungeza maradufu kwa sababu ni miaka mingi imepita tangu nyongeza ya mwisho na pia gharama za maisha zimepanda sana. Lakini tukirudi kwa Rais wetu hatuujui mshahara wake!!! Mwe hii ni sirikali!!!
Waafrika huwa tuna matatizo sana, hata mshahara wa mzazi wako huwezi kuujua sembuse mshahara wa viongozi.

Waafrika tuna matatizo sana. Usiri wa waafrika unafanya matatizo mengi sana, ndio maana unakuta mzazi anapata mshahara Mkubwa lakini hakuna maendeleo yoyote.
 
Mshahara wa Rais wetu Japo hatuujui hauwezi ukawa Juu sana compared to other East African Presidents..Infact yeye ndo Anapokea Mdogo Kabisa according to sources kadhaaa nlizokutana nazo hapa na pale kwa Mfano unakuta top 20 ya Highest paid presidents wa Ishirini analipwa $18,000 that implies he receives less around $ 4000-$ 6000 pitia hapa for more info The highest and lowest paid African presidents
 
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Ungeanza kuuliza mbunge wako anapokea ngapi na akistaafu anapokea ngapi na akirudi anapokea ngapi?
 
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
kwani hujui !! ndio sababu haongezi mishahara kwani anafikiri kila mtumishi ametosheka kama yeye !!
 
Hiyo nayo ni siri kubwa Watanzania hatistajili kuijua!!! Tunajua mshahara wa Rais wa Marekani lakini hatujui mshahara wa Rais wetu!!!! Bill clinton ndiye alikwa Rais wa mwisho wa Marekani kupokea mshahara wa $200,000 kwa mwaka alipomaliza awamu yake ya miaka minane mwaka 2000. Kuanzia 2001 mshahara wa Rais wa marekani uliongezwa na kufikia $400,000 kwa mwaka. Kama kumbu kumbu zangi ni nzuri walidai wameoungeza maradufu kwa sababu ni miaka mingi imepita tangu nyongeza ya mwisho na pia gharama za maisha zimepanda sana. Lakini tukirudi kwa Rais wetu hatuujui mshahara wake!!! Mwe hii ni sirikali!!!
Ni kweli mkuu, Sio tu mishahara yapo mengi inabidi tuyajue na kuyafahamu kuhusu viongozi wanaotuongoza, kwa nchi kama marekani FBI wana taarifa za kina (detailed information) kuhusu viongozi wa ngazi za juu, na taarifa haziishii tu kwenye mishahara ni mpaka kwenye mali wanazomiliki na vyanzo vyao vya mapato.

Lakini hapa nchini sijajua kama unaweza kumchambua kiongozi na kujua taarifa zake, hapa ndipo unakuta tunapata viongozi ambao sio makini maana hatuna taarifa zao kamili.
 
Niliona hapa, kama sikosei kwenye topic moja kuhusu mkapa, mdau moja alisema mshahara wa rais ni $12,000 kwa mwezi.

Kama nimekosea naomba nirekebishwe
Kama ni kweli kuna shida, yaani rais wa Tanzania apokee pesa kwa dolari badala ya shilingi za ki-Tanzania. Hiyo si sawa.
 
Back
Top Bottom