Ikiwa ni siku ya 4 tangu tuanze mwezi wa 10, wa2mishi wa selikali hapa wilayani wanaendelea kupitia hali ngumu ya maisha kwani mishahara ya mwezi jana haijatoka! na hakuna sababu ya msingi iliyotolewa na wahusika. Swali, je, sababu ya kuchelewa mishahara inahusiana na harakati za kisiasa hapo wilayan?