Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 683
Naona kama vile unanisema mimi!Rafiki yangu wa UDSM kaingia mgomo tangu juzi walipoambiwa Hundi haijafika toka Hazina Lol!!!!
Naona kama vile unanisema mimi!Rafiki yangu wa UDSM kaingia mgomo tangu juzi walipoambiwa Hundi haijafika toka Hazina Lol!!!!
Jana jioni mwenye dhamana ya mishahara udom, katoa barua ya kusema hajapokea fedha yoyote kutoka hazina kwa hiyo hakuna mshahara mpaka atakapo pata fedha, sio kosa lake kasema ukweli mimi nalia na mkuu wa kaya j.k.
Mbona mnatudhalilisha mjini hapa? Sijui tasisi nyingine za serikali kama wamelipwa ila hapa matangazo yameshatoka kuwa mpunga haujaingia kutoka serikalini.
Tunaishije mjini hapa?spika makinda anna anajua vizuri ugumu wa maisha dodoma ndio maana anakomalia posho,sasa tusiokuwa na posho na tunaishi dodoma miaka yote tunafanyeje?hali mbaya!!!!!!!!
Jana jioni mwenye dhamana ya mishahara udom, katoa barua ya kusema hajapokea fedha yoyote kutoka hazina kwa hiyo hakuna mshahara mpaka atakapo pata fedha, sio kosa lake kasema ukweli mimi nalia na mkuu wa kaya j.k.
Mbona mnatudhalilisha mjini hapa? Sijui tasisi nyingine za serikali kama wamelipwa ila hapa matangazo yameshatoka kuwa mpunga haujaingia kutoka serikalini.
Tunaishije mjini hapa?spika makinda anna anajua vizuri ugumu wa maisha dodoma ndio maana anakomalia posho,sasa tusiokuwa na posho na tunaishi dodoma miaka yote tunafanyeje?hali mbaya!!!!!!!!
ani ngojeni wakusanye kwanza Makadiro ya kodi za Mapato ya biashara za makabwela.
Jana jioni mwenye dhamana ya mishahara udom, katoa barua ya kusema hajapokea fedha yoyote kutoka hazina kwa hiyo hakuna mshahara mpaka atakapo pata fedha, sio kosa lake kasema ukweli mimi nalia na mkuu wa kaya j.k.
Mbona mnatudhalilisha mjini hapa? Sijui tasisi nyingine za serikali kama wamelipwa ila hapa matangazo yameshatoka kuwa mpunga haujaingia kutoka serikalini.
Tunaishije mjini hapa?spika makinda anna anajua vizuri ugumu wa maisha dodoma ndio maana anakomalia posho,sasa tusiokuwa na posho na tunaishi dodoma miaka yote tunafanyeje?hali mbaya!!!!!!!!
Ina maana we unaishi kwa kutegemea mshahara tu? imeandikwa mtu hataishi kwa mkate tu mkuu!
ACHA UONGO WE *****! Hakuna daktari aliyelipwa, subiri tarehe tatu kitanuka tena.mwezi huu wamejitahidi kuwalipa madaktari kwanza nyie wengine mtasubiri kwanza hadi zipatikane, c umeona hata wabunge wamegomewa nyongeza? tuvumilie hali serikali nimbaya kifedha
Mkuu, kwa taarifa yako waliojaa ni wafanyakazi hewa... kama serikali ikiweza kudhibiti idadi ya wafanyakazi halali si kubwa sana kuimuduKuliko Serikali kuwa na idadi kubwa ya wafanyakazi isiyoweza kuwalipa kwanini wasifanye uchambuzi yakinifu kujua mahitaji halisi kwa kazi zilizopo na wengine waje huku sekta binafsi? Sera ya "full employment" haifanyi kazi kwenye uchumi huria kwanza inakandamiza ukuaji wa sekta binafsi.
Ukifuatilia sana serikalini wamejaza wasomi na hawana kazi zinazoendana na visomo vyao hivyo wangewekwa kando (jobless) wangejitambua na kutumia visomo vyao kuinua pato la taifa.
Jana jioni mwenye dhamana ya mishahara udom, katoa barua ya kusema hajapokea fedha yoyote kutoka hazina kwa hiyo hakuna mshahara mpaka atakapo pata fedha, sio kosa lake kasema ukweli mimi nalia na mkuu wa kaya j.k.
Mbona mnatudhalilisha mjini hapa? Sijui tasisi nyingine za serikali kama wamelipwa ila hapa matangazo yameshatoka kuwa mpunga haujaingia kutoka serikalini.
Tunaishije mjini hapa?spika makinda anna anajua vizuri ugumu wa maisha dodoma ndio maana anakomalia posho,sasa tusiokuwa na posho na tunaishi dodoma miaka yote tunafanyeje?hali mbaya!!!!!!!!
Rafiki yangu wa UDSM kaingia mgomo tangu juzi walipoambiwa Hundi haijafika toka Hazina Lol!!!!
Ina maana we unaishi kwa kutegemea mshahara tu? imeandikwa mtu hataishi kwa mkate tu mkuu!
Nimeipenda sana hii.
PJ,
Kuna kazi na kazi aisee.
Kazi nyingine hata ukigoma hakunatofauti itakayoonekana.
Ukigoma utawarahisishia kazi ya kukufuta kwenye payroll kimya kimya.