Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Amenaswa kiongozi mmoja kijana wa ngazi za juu hazina akiongea kwa simu na mtu ambaye hakufahamika mara moja. "Kuna tatizo hapa, pesa hakuna. Hata mishahara ya mwezi huu ni kizunguzungu, Juhudi zinafanyika ili pesa ipatikane mapema kwa ajili ya mishahara ya mwezi dec. Kuna baadhi ya idara nyeti watalipwa mapema mshahara wa dec, wapo pia watakaolipwa mishahara nusu. Isipokuwa kwa idara ya elimu hali itakuwa ngumu kidogo. Pengine mishahara yao ya mwezi dec wakalipwa tarehe za kati kati ya mwezi january....Akaingia ofisini na kujifungia huku akiendelea kuongea. Haya, wale wenye visanduku vya uvunguni wajiandae kuvibomoa.