Mishahara ya acacia hiyo.No, sio kama imepangwa na serikali, hii ni scale ya kampuni moja hapa nchini jina nalihifadhi ya mgodini
Mbona mishahara ya kawaida sana hiyo.Kwa hiyo mishahara mbona wangesumbua sana huku mitaani,, Dada zetu wasinge kohoa
Habarini za leo wana jamii Forum,kwa leo naomba niwawekee hapa mishahara mbali mbali ya mgodini na malipo yake kulingana na kazi husika.
1.5 - 2.1 MillionHIYO NI SAWA KWA KAMPUNI NYINGI..JE TUWEKEE ZA SENIOUR OR MID POSION EG ENVIRONMENTAL OFFICERS ETC