Mh kawambwa, Waziri Ghasia na mkulo wizara zenu zinatuhumiwa kwakuchelewesha ama kutojali kuwalipa walimu wa chuo kikuu kilichokikubwa kuliko vyote huko dodoma. walimu hao walishapandishwa muda mrefu sana lakini mwajiri wao anadai alishawapa taarifa yakustahili walipwe pesa zao lakini mnadaiwa kutotoa ruhusa ama kupuuzia haki zao.
kama ni kweli mtawaomba radhi walimu hao na kuwalipa stahili zao lini? Na mnadhani kama hamhusiki walimu hawa wanafanya kazi nchi gani wakati wenzao walimaliza novemba 2010 na desemba wakalipwa mishahara yao?
Walipeni walimu stahili zao bwana acheni kuwanyanyasa kiasi hicho kwa stahili zao. wamefanya kazi tangu novemba 2010 ya daraja hilo jipya hadi leo hawajalipwa, nanyi mnafanya kazi kwa mkopo?
kama ni kweli mtawaomba radhi walimu hao na kuwalipa stahili zao lini? Na mnadhani kama hamhusiki walimu hawa wanafanya kazi nchi gani wakati wenzao walimaliza novemba 2010 na desemba wakalipwa mishahara yao?
Walipeni walimu stahili zao bwana acheni kuwanyanyasa kiasi hicho kwa stahili zao. wamefanya kazi tangu novemba 2010 ya daraja hilo jipya hadi leo hawajalipwa, nanyi mnafanya kazi kwa mkopo?