Mishahara ya madaktari kwa baadhi ya nchi za Afrika

Huu ni mshahara wa daktari anayeanza kwa kiwango cha shillingi za kitanzania

Zambia-millioni 1.9

Namibia-millioni 5.7

Africa kusini-millioni 6.2

botswana-millioni 4.023

kenya- walikuwa wanadai milioni 3.299
wazambia wamemuingiza sata kawapa hizo mwaka huu ni nyongeza ya 100%

Ahsante kwa taarifa hii,I badly needed it.Kwa mantiki hiyo madaktari wetu wana deserve kulipwa kiwango wanacho dai and probably more,hasa tukizingatia kwamba nchi yetu ni tajiri,only that hela hela zetu zinaingia kwenye mifuko ya mafisadi wachache.
 
Huu ni mshahara wa daktari anayeanza kwa kiwango cha shillingi za kitanzania

Zambia-millioni 1.9

Namibia-millioni 5.7

Africa kusini-millioni 6.2

botswana-millioni 4.023

kenya- walikuwa wanadai milioni 3.299
wazambia wamemuingiza sata kawapa hizo mwaka huu ni nyongeza ya 100%

Tafadhali, hizi figure ni Tanzania shilingi au fedha za kwao?
 
Yani akili matope mbaya sana kwa kuwa huwezi fanya comparison bila kujua kiwango cha uchumi cha hizo nchi kwanza

Wewe unayejifanya unajua, Uchumi wa Tanzania na Zambia ni upi huko juu? Na kama unafikiri ni Zambia, wana kipi cha zaidi cha kuwafanya wawe juu ya Tanzania?
 
Huu ni mshahara wa daktari anayeanza kwa kiwango cha shillingi za kitanzania

Zambia-millioni 1.9

Namibia-millioni 5.7

Africa kusini-millioni 6.2

botswana-millioni 4.023

kenya- walikuwa wanadai milioni 3.299
wazambia wamemuingiza sata kawapa hizo mwaka huu ni nyongeza ya 100%
Mkuu Red Giant funguka tukuelewe hapo naona nchi tofauti lakini nachokijua kila nchi ina pesa yake sasa hapo ni viwango kwakutumia pesa ya wapi??maana ukitaja milioni 1.9 ya Zambia unaweza kudhani nipesa lukuki kumbe hata mtoto wa darasa la 6 anamiliki hiyo pesa!!!..................Masahihisho nimeona it in Tsh!!Lakini ....uchumi wao??
 
Yani akili matope mbaya sana kwa kuwa huwezi fanya comparison bila kujua kiwango cha uchumi cha hizo nchi kwanza

Mbwa wewe km hivyo basi serikali ya Tanzania ingekuwa inatumia magari ya Vtz. Mbona nchi km Rwanda ambazo uchumi unafanya vizuri hawana anasa za serikali km Tanzania
 
Leta na idadi ya watu ya hizo nchi ili tujue wanagawana vipi keki ya taifa (per capita). Ukiangalia GDP peke yake wakatu wa Tz tuko kibao kulinganisha na zambia au Botswana hutapata picha halisi.

Mfano kwa data zako unataka kusema Tz iko vizuri kiuchumi kuliko Botswana which is WRONG!

Tuangalia uchumi kwa baadhi ya hizi nchi (2010)

Zambia GDP - USD 16.19bh (est figure za 2011 ni USD 20.288bn)
Botswana GDP - USD 14.86bn
Namibia GDP - USD 12.17bn
Tanzaniza GDP - 23bn !!!
 
kama nchi ni masikini kweli na ijidhihirishe hivyo, pesa hakuna kwa wanataaluma tu?? kwa wanasiasa zipo why? why?
 
You guys are missing the point. According to our full natural resources tungeweza kabisa kuwalipa walimu/madaktari wote hao hela wanayotaka bt mfumo na wizi wa hela zetu ndo unafanya serikali kutokua na hela.
 
kuongoza nchi hii kwa sasa kunataka akili sana!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Huu ni mshahara wa daktari anayeanza kwa kiwango cha shillingi za kitanzania

Zambia-millioni 1.9

Namibia-millioni 5.7

Africa kusini-millioni 6.2

botswana-millioni 4.023

kenya- walikuwa wanadai milioni 3.299
wazambia wamemuingiza sata kawapa hizo mwaka huu ni nyongeza ya 100%
serikali ya ccm inataka kuwaonea madaktari,nawashauri madaktari wasirudi nyuma.
 
Huu ni mshahara wa daktari anayeanza kwa kiwango cha shillingi za kitanzania

Zambia-millioni 1.9

Namibia-millioni 5.7

Africa kusini-millioni 6.2

botswana-millioni 4.023

kenya- walikuwa wanadai milioni 3.299
wazambia wamemuingiza sata kawapa hizo mwaka huu ni nyongeza ya 100%

TZ nayo ngapi? 50,000 ?... Ukileta fyoko, moja kwa moja utajikuta Mabepwande..!!!
 
kama nchi ni masikini kweli na ijidhihirishe hivyo, pesa hakuna kwa wanataaluma tu?? kwa wanasiasa zipo why? why?

Nchi hii ina fedha za kutoa rambirambi na kufanya sherehe za chama.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Huu ni mshahara wa daktari anayeanza kwa kiwango cha shillingi za kitanzania

Zambia-millioni 1.9

Namibia-millioni 5.7

Africa kusini-millioni 6.2

botswana-millioni 4.023

kenya- walikuwa wanadai milioni 3.299
wazambia wamemuingiza sata kawapa hizo mwaka huu ni nyongeza ya 100%

Halafu nchi hizo zote Tanzania imeizidi kwa rasilimali! Jk dhaifu sana
 
hapa ishu ni nini maana sielewi kitu..naona some wadanganyika contesting on some figure lakini sijui hoja ni nini?
 
Wazazi taaluma ya udaktari ni tofauti na nyingine zote mtu anacheza roho za watu wanacheza na maiti, hebu fikirieni hilo, mimi sio doc ila najua mziki wakuwa doc JK hauwezi na first year asingemaliza, sasa ifike mahali tujue kuna taaluma muhimu kuliko uraisi ,uwaziri na ubunge ,serikali ongeeni na hao watu kianzio cha 1.5 mpaka 2m watawaelewa wakuu punguzeni masafari,semina, masherehe na misamaha ya kodi;mnaumiza walala hoi wandugu..................mbona hamna imani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Yani akili matope mbaya sana kwa kuwa huwezi fanya comparison bila kujua kiwango cha uchumi cha hizo nchi kwanza
Kiwango cha uchumi una maanisha nini? Tz ni tajiri kuliko zambia, namibia na nchi nchi nyingine sema tu tumeshindwa kutumia rasilimali zetu. Rwanda ni kanchi masikini ila madaktari wao wanapata zaidi ya milioni 5 za Tz. Utaniambia ni wachache, kumbuka pia wao wana rasilimali chache. Kama swala ni uchache na wingi wa watu basi USA wangekuwa masikini. Wao marais wao hawapo angani kila siku kula kodi za umma, hawalipani vikao nk ndio maana wanamudu kulipa vizuri
 
Back
Top Bottom