Mishahara UDSM bado kizungumkuti...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Hadi leo tar. 2 ya mwezi huu,mishahara ya mwezi Novemba bado haijatoka. Si kwa wenye akaunti kwenye Benki ya Makabwela,Benki ya Taifa ya Biashara,Benki ya Maendeleo Vijijini wala kwingineko kulikoeleweka. Wafanyakazi wako kimya. Vyama vya Wafanyakazi vipo kimya. Mwajiri yuko kimya. Mchezo unaendelea...
 
Sasa hivi imekuwa ni hali ya kawaida mishahara kuchelewa ikilipwa kwa wakati hiyo si kawaida.Hii ndiyo Tanzania kila kitu mseleleko
 
Daaaah si huko tu ndugu yangu hata SUA kweupeee, wend mbovu mbayaaa. Sijui tunaelekea wapi na kwa universities imekuwa kawaida, nahisi kwa kuwa hatujamua kulianzisha tumekaa kimya ila kwa walimu, polisi, mahakama na jeshi washasahau salary ya Nov.
 
:A S-baby:kwani ziara ya kina kinandala mikoani imeisha?mbona mnakuwawepesi kusahau,si ni juzi tulikuwa dodomya na mihera yenu tuligawana>vuta subira namvutia waya rosti tamu atupe hela tuwalipe hasa nyie vihelehele wa UDSM
 
Hadi leo tar. 2 ya mwezi huu,mishahara ya mwezi Novemba bado haijatoka. Si kwa wenye akaunti kwenye Benki ya Makabwela,Benki ya Taifa ya Biashara,Benki ya Maendeleo Vijijini wala kwingineko kulikoeleweka. Wafanyakazi wako kimya. Vyama vya Wafanyakazi vipo kimya. Mwajiri yuko kimya. Mchezo unaendelea...

Hivi wewe si mnalo jukwaa lenu 'UDASA'.Kuhamishia mjadala huku maana yake nini?Are you seeking public sympathy?Msomi, unalialia..hao unaotarajiwa uwasemee wafanyanyeje?

Matatizo ya kitaifa mpo kimyaa....hadi yawafike ndio mpanue madomo yenu.Usomi gani huu?BTW: unajua hali ya mishara kwenye taasisi nyingine za serikali?Nakushauri urudi ulikotoka. Kafanye utafiti kwanza, jenga hoja ya serikali kushindwa kulipa mishahara watumishi wake kwa wakati.

Lakini kama kweli hoja yako ni kuhusu UDSM tu...nadhani ule mtandao wenu wa UDASA unatosha...
 
siku hizi hela zinakusanywa hand to mouth hakuna receive,hivyo subirini makusanyo ya kesho labda mtafikiliwa.
 
Hivi wewe si mnalo jukwaa lenu 'UDASA'.Kuhamishia mjadala huku maana yake nini?Are you seeking public sympathy?Msomi, unalialia..hao unaotarajiwa uwasemee wafanyanyeje?

Matatizo ya kitaifa mpo kimyaa....hadi yawafike ndio mpanue madomo yenu.Usomi gani huu?BTW: unajua hali ya mishara kwenye taasisi nyingine za serikali?Nakushauri urudi ulikotoka. Kafanye utafiti kwanza, jenga hoja ya serikali kushindwa kulipa mishahara watumishi wake kwa wakati.

Lakini kama kweli hoja yako ni kuhusu UDSM tu...nadhani ule mtandao wenu wa UDASA unatosha...

Mkuu kwenye njaa hakuna usomi, njaa ni ile ile! Sidhani kama ingekuwa wewe unalipwa mshahara tr "40" au "50" ya mwezi ungekaa kimya! UDASA wangekuwa na msaada sidhani kama mtu angekuja kuanika haya mambo hapa JF!
 
hiv pale udsm vip, kuna jamaa namdai pesa yangu( mfanyakazi wa UDSM) toka Novemba anasema eti bado ajalipwa mshaara toka novemba, hivo hii ni kweli au?
 
Kama kuna kitu huwa kinani-put off, ni hii tabia ya wasomi kuja kulalamika hapa badala ya kuchukua hatua. Kama ninyi mnakaa kulalamika hivi, je walimu wa shule ya msingi watafanya nini? Tulidhani watu mliosoma tena katika ngazi ya juu ya kuwa walimu wa vyuo vikuu mngekuwa na uwezo wa kusimama na kudai haki zenu. Sasa kama ninyi hamuwezi kudai za kwenu wenyewe mnawezaje siku moja kusimama kuwasemea watu wa hali ya chini?
 
Labda itatoka tarehe 60. Ni dalili tosha kwamba magamba wameshakomba kila kitu hazina. Bajeti ya miezi 12 inakatika baada ya mwezi mmoja au miwili tu. Kigumu chama cha magamba kigumu!!!!, mgumu DHAIFU mgumu!!!!
 
Duh nyie noma....watu washalamba ya november kitaaambo.....na mwezi wa x mas mzigo unatoka tar.10....poleni wakuu....ila nyie ndo vipanga vya taifa hili..jiteteeni bana..
 
Duh nyie noma....watu washalamba ya november kitaaambo.....na mwezi wa x mas mzigo unatoka tar.10....poleni wakuu....ila nyie ndo vipanga vya taifa hili..jiteteeni bana..

nchi za wenzetu marais wanawaheshimu sana wasomi wa vyuoni, hasa vikongwe. Lakini tz mpaka mbunge asiye na elimu yoyote kama yule mama wa singida anawachimba beat na wanampa cheti na kozi work nzuri(mzumbe). Ndo maana kila mwezi mnalalamika kucheleweshewa mishahara. Nani atakosoa maovu ya nchi hii. Mahakamani wamejazwa makanjanja, waandishi wa habari njaa tu hata hawa nao hivhg wanateuliwa na rais kuwa malecturer? Sasa kama maslahi yenu mnashindwa kutetea nani ataipa mawazo ya kisomi serikali? Wenzetu wanategemea sana technical advice kutoka kwa wasomi wake lakini tz hata makamba j anaweza kutoa ushauri wa mambo ya afya na ukachukuliwa. Seriously! Ndo maana walikaa wakashauriana kutengeneza bajaji ili wabebe wamama wajawazito kuwafikisha hospitali kwa gharama ambayo ni sawa na noah moja kwa kila bajaj. Milima ya makete hizo bajaji zitapita wapi? Au walitaka kugeuza dada zetu sehemu ya majaribio yao? Ukienda hospitali za wilaya umekuwa uchafu unaobana nafasi pasipo manufaa yoyote. Hii ni dalili ya kudharauliwa kwa wasomi wetu mpaka kina sugu ndo wanatoa mawazo mbadala kwa serikali yetu japo kwa kinyongo lakini wanayatumia. Simdharau sugu ila ushauri ambao ungetolewa na prof wa muhas ungekuwa deep kuliko wa mr 2.
 
Ingawa sina uhakika sana na aliye leta mada ni kati ya wasomi wa UDSM kwani ukiacha lecturers chuo kinawafanyakazi wa kada nyingine wa kada ya chini kabisa ambao sio wasomi, hata hivyo, kama ni msomi hakupaswa kulalamika hivi la kuchukua hatua kama msomi.
 
Back
Top Bottom