Dig the EA
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 279
- 270
Katika hali ya kawaida na katika nchi zetu za Kiafrika, hivi kuna sababu gani za kimantiki za wabunge kulipwa mishahara, posho, pension na stahiki nyingine kubwa kuliko maeneo mengine?
Imekuwa ikisemekana na kusikika kuwa wabunge wanalipwa almost 11m kwa mwezi ikiwa ni mishahara na posho kadha wa kadha.
Lkn cha kushangaza, wanapoenda kustaafu, inasemekana pia wanalipwa pension zao kiasi kikadiriwacho kuwa 200 million wakati wametumika kwa kipindi cha miaka mitano (5) tu.
Katika mazingira yetu na maisha ya Kitanzania, ni hela nyingi sana.
Swali, ni kazi gani hasa kubwa wanazofanya wabunge mpaka hizo kazi zitafsiri malipo makubwa hivi ?
Idara au taasisi nyingine za kiutumishi kama Elimu, afya, kilimo, nk hulipwa ujira mdogo sana.
Katika idara hizi kuna mtumishi aweza kulipwa laki 3 tu kwa mwezi, lkn mbunge, hiyo laki tatu hulipwa tu kama posho ya siku akiwa kwenye vikao bungeni.
Kazi ya mwalimu au nurse ni ngumu sana lkn ndo malipo kidogo. Je mbunge ana ugumu gani wa kazi hadi alipwe kiasi kikubwa?
NB: Kiwango cha mishahara na posho kwa hawa watu kipungue, viwango vya mishahara ya watumishi wa chini viongezwe. Hatua hiyo ikichukuliwa, watu hawatao kimbilia ubunge.
Wataenda kwa dhamira ya kuwasaidia wananchi, wa miaka ya nyuma tuliowashuhudia, wengi hufuata kipato cha ubunge.
Lakini kwa nini ilionekana inafaa kuwalipa wabunge hela nyingi?
Imekuwa ikisemekana na kusikika kuwa wabunge wanalipwa almost 11m kwa mwezi ikiwa ni mishahara na posho kadha wa kadha.
Lkn cha kushangaza, wanapoenda kustaafu, inasemekana pia wanalipwa pension zao kiasi kikadiriwacho kuwa 200 million wakati wametumika kwa kipindi cha miaka mitano (5) tu.
Katika mazingira yetu na maisha ya Kitanzania, ni hela nyingi sana.
Swali, ni kazi gani hasa kubwa wanazofanya wabunge mpaka hizo kazi zitafsiri malipo makubwa hivi ?
Idara au taasisi nyingine za kiutumishi kama Elimu, afya, kilimo, nk hulipwa ujira mdogo sana.
Katika idara hizi kuna mtumishi aweza kulipwa laki 3 tu kwa mwezi, lkn mbunge, hiyo laki tatu hulipwa tu kama posho ya siku akiwa kwenye vikao bungeni.
Kazi ya mwalimu au nurse ni ngumu sana lkn ndo malipo kidogo. Je mbunge ana ugumu gani wa kazi hadi alipwe kiasi kikubwa?
NB: Kiwango cha mishahara na posho kwa hawa watu kipungue, viwango vya mishahara ya watumishi wa chini viongezwe. Hatua hiyo ikichukuliwa, watu hawatao kimbilia ubunge.
Wataenda kwa dhamira ya kuwasaidia wananchi, wa miaka ya nyuma tuliowashuhudia, wengi hufuata kipato cha ubunge.
Lakini kwa nini ilionekana inafaa kuwalipa wabunge hela nyingi?