kutegemea mshahara kupita kiasi ni dalili ya umasikini
Napenda kujua kwanini hadi lea JWTZ hawajapata pay kwani hupata kati ya th.18 na 19. Serikali imefulia au ndo marekebisho ya mishahara.
kutegemea mshahara kupita kiasi ni dalili ya umasikini
Ndo mana wengine wanapiga kitu cha rushwa au ufisadi ili kukwepa umaskini..........
Wao wenzao wakiandamana kuhusu mishahara siwanawazuia vibaraka watwana hao to hell with ua idiotic! Foolish! Incidible! Stupid! Open ended mind ,wasipewe kabisa i hate them sana hawalalamiki ila rushwa ndio zinazidi barabarani utaulizwa kwanini stika zimechanika?
Inauma sana.......tuna kikao cha dhalura leo saa3 usiku()ili kujua why serikali inajifanya imetusahau sisi wapiganaji.Napenda kujua kwanini hadi lea JWTZ hawajapata pay kwani hupata kati ya th.18 na 19. Serikali imefulia au ndo marekebisho ya mishahara.
Wao wenzao wakiandamana kuhusu mishahara siwanawazuia vibaraka watwana hao to hell with ua idiotic! Foolish! Incidible! Stupid! Open ended mind ,wasipewe kabisa i hate them sana hawalalamiki ila rushwa ndio zinazidi barabarani utaulizwa kwanini stika zimechanika?
jamani ni kweli hatujapata na si kawaida pengine pesa zimeenda kuzika zanzibar,kazi ya ccm ni misiba tu na ndo maana jk kila ikizama meli lazima akauze sura na hatuoni awajibikaji,i hate jk,i hate ccm and i hate any one with afiliation with ccm
Napenda kujua kwanini hadi lea JWTZ hawajapata pay kwani hupata kati ya th.18 na 19. Serikali imefulia au ndo marekebisho ya mishahara.
kutegemea mshahara kupita kiasi ni dalili ya umasikini
Huu ni mwezi July, ni kawaidaNapenda kujua kwanini hadi lea JWTZ hawajapata pay kwani hupata kati ya th.18 na 19. Serikali imefulia au ndo marekebisho ya mishahara.
Mkuu katika watu wenye heshima zao ni JWTZ. Hawa jamaa hawahusiki kabisa na masuala ya rushwa. Mishahara kuchelewa nadhani ni sababu ya bajeti