Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nilifikiri unatuletea hizo scale mpya....kumbe na wewe unauliza, hakukuwa na haja ya kukimbilia kuandika huu uzi kama huna cha kutuambia.Wadau wa wenye mkeka rasmi unaoainisha mishahara mipya ya 2013 naomba tafadhali...sio gazeti lakini.
Si walisha sema ni kati ya asilimia 24 hadi 55? Au ile ilikuwa ni ya nini?
Wadau wa wenye mkeka rasmi unaoainisha mishahara mipya ya 2013 naomba tafadhali...sio gazeti lakini.
Kodi imepunguzwa kwa asilimia moja, ilikuea 14 sasa 13.
Mkuu umepotosha kodi ni 10% na sio 14%
Mkuu umepotosha kodi ni 10% na sio 14%
na ada za shule, mmmhu. Kufa hatufi ila cha mtema ndo tunaendelea kukiona tuuu. Eeeh mungu saidia nyonge yako sisitulia ndugu, unajitia preshe bure kwa kuwaza vichele vya tanzania visivyo na kichwa wala miguu! We jipange tu na bajeti zako za ugali kwa kachumbari ziendelee. Unatarajia nini cha ajabu kutoka kwenye bajeti hii ya walafi?? Wakupe wewe ili nawe ule kuku?!!! Hakuna jipya, we subiri mwezi wa saba, kuongezewa kodi ya nyumba na bei za vyakula/vinywaji.
na ada za shule, mmmhu. Kufa hatufi ila cha mtema ndo tunaendelea kukiona tuuu. Eeeh mungu saidia nyonge yako sisi