pole but nimeajiriwa 2012 nilipanda last yr aprilMTU umeajiriwa 2012 unalingana salary na kenge tu ameajiriwa 2017 this is not sawa
Wengi hawalifikirii hili mkuu.Ni hivi ni Sheria kwamba mtumishi anapata salary increament Kila mwaka kwa Tz hutolewa Kila July. Hi inatofautiana kulingana na mshahara wa mtumishi. Sasa mwaka 2016 na 2017 hazijatolewa kinyume na Sheria. Kwa hivi ni lazima zirejeshwe kwanza ndipo nyongeza itolewe. Isijekuwa unaambiwa mshahara umeongezwa Kimberly umerejeshewa tu increament uliyopokonywa. Vyama vya wafanyakazi hapa vimelala
hongera sana Manispaa Kigoma 2012 bado tunasota hamna kupanda daraja wala nn naichukia sana hii kazi kwa sasa sio kwa adhabu kama hizipole but nimeajiriwa 2012 nilipanda last yr april
Kenge nao huajiriwa serikalini?MTU umeajiriwa 2012 unalingana salary na kenge tu ameajiriwa 2017 this is not sawa
Hahahaha kimyaa ka sio tarehe zetu vile...Chezea ongezeko la buku 7Mh!!
Yaani watu wanaona bora mshahara uchelewe angalau uweze kufika January la sivyo hali itakuwa mbaya sana.Hahahaha kimyaa ka sio tarehe zetu vile...Chezea ongezeko la buku 7
Swali lako halijajibiwa ndugu.Wakuu kwema?Nadhani Leo 17 November,Payroll zimeshawafikia wakuu wa idara huko kwenye Halmashauri mbalimbali nchi nzma.
Itapendeza zaidi Maafisa Utumishi au Wakuu wa idara mkitujuza kuhusu Orodha za malipo ya Mishahara mipya kuanzia November hii kama Mkulu alivoahidi!Je kuna ongezeko?Na kama lipo Ningependa kufahamu scales zake zimekaaje kuanzia Madaraja ya chini mpaka juu.
Ahsanteni,nawasilisha!!