Nimekuta hotuba ikiendelea ya Mei Mosi na sikusikia mahali Rais ametamka mishahara kupanda. Jamani kama kuna aliyesikia kama mishahara imepandishwa tafadhali atueleze imepandishwa kwa kiasi gani. Nitashukuru
Enh hii ni kweli? Basi kuna tatizo kubwa saana. Inamaana hapitii hotuba kabla ya kwenda kuhutubia? Kufoka pale hakutasaidia kitu kama kuwajibishana hakutakuwepoAmeendelea na propaganda na sidhani kama kuna nehema sana uko july,
cha ajabu leo nimeshtuka tena kuona hotuba yake tofauti na za wawakilishi wengine ya JK haikuwa imeeandaliwa kufuata itifaki..wakati itifaki iliyokuwa ikitumika ilianza kwa kumtaja rais,jaji mkuu,....,iliyosomwa na Kikwete ilianza na Rais wa Tucta,waziri wa kazi,waziri wa utumishi,...kheee,kuona hivi JK akashtuka kidogo,akafoka ,mbona hotuba yangu haijazingatia itifaki kama za wengine?ikabidi aanze upya kwa kumtaja jaji mkuu,.....
Nikajiuliza hii ni kwa bahati mbaya ama ndo ishu zle zle za akina Rweyemamu?? kazi ipo!
Nimekuta hotuba ikiendelea ya Mei Mosi na sikusikia mahali Rais ametamka mishahara kupanda. Jamani kama kuna aliyesikia kama mishahara imepandishwa tafadhali atueleze imepandishwa kwa kiasi gani. Nitashukuru[/Q
Du!watu mna moyo bado mnasilikilazaga tuu huyu jamaa!
Mi nachojua siku hizi huwa hataji kama kuna nyongeza ila huwa inaongezwa automatically tu, kuepuka waongeza bei bidhaa...maana wakisikia hivyo kila kitu hupandishwa. lets assume that.
Mi nachojua siku hizi huwa hataji kama kuna nyongeza ila huwa inaongezwa automatically tu, kuepuka waongeza bei bidhaa...maana wakisikia hivyo kila kitu hupandishwa. lets assume that.
Nilichoona mimi ni jaribio la huyu bwana kushusha mistari bila kudesa ila hakufika mbali alijikuta hata itifaki ameishindwa akaamua kurudia desa lake baada ya kujiadhibu mwenyewe kwa kujicheka na kisha kutangazia umma kwamba keshachemka.