Mao Tanzania
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 210
- 231
Pitapita zangu hapa jijini Mwanza zimenikutanisha na watumishi wa umma wenye huzuni, chuki, hasira na kisasi mioyoni baada ya mishahara yao kukatwa kwa sababu walitia nia.
Wanasema, mishahara yao ndo uhai wa familia zao, ndiyo uzima wa Babu na Bibi zao vijijini. Wanasema wanawagonjwa wanaowategemea.
Wako walioomba ruhusa kwa mujibu wa waraka. Wako waliokuwa likizo za kawaida za mwaka.
Wamerudi makazini, walikipenda Chama cha Mpainduzi, wakavaa nguo za kijani, wakaamuka na CCM OYEEE, NG'ARA CCM ng'ara CCM na mengine kadhaa.
Wafanyakazi wanalia, wanasikitika kwanini imekuwa hivi. Wanaona hata yanayoitwa majonzi ya kitaifa ni majonzi yao wao huku na si ya kila mtu.
Taifa kinahitaji uponyaji
Cc: Katibu Mkuu Utumishi
Wanasema, mishahara yao ndo uhai wa familia zao, ndiyo uzima wa Babu na Bibi zao vijijini. Wanasema wanawagonjwa wanaowategemea.
Wako walioomba ruhusa kwa mujibu wa waraka. Wako waliokuwa likizo za kawaida za mwaka.
Wamerudi makazini, walikipenda Chama cha Mpainduzi, wakavaa nguo za kijani, wakaamuka na CCM OYEEE, NG'ARA CCM ng'ara CCM na mengine kadhaa.
Wafanyakazi wanalia, wanasikitika kwanini imekuwa hivi. Wanaona hata yanayoitwa majonzi ya kitaifa ni majonzi yao wao huku na si ya kila mtu.
Taifa kinahitaji uponyaji
Cc: Katibu Mkuu Utumishi