Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Jamani huwa ninavutiwa sana na misemo ya kwenye khanga.
Mfano:
1.Hata ng'ombe alikuwa ndama
2.Wao majungu,sisi kazi tu!
3.Ukiona manyoya ujue kashaliwa!
Kama nawe unaikumbuka mingine ongezea hapa!
Mfano:
1.Hata ng'ombe alikuwa ndama
2.Wao majungu,sisi kazi tu!
3.Ukiona manyoya ujue kashaliwa!
Kama nawe unaikumbuka mingine ongezea hapa!