Majina, misemo na maneno kwenye khanga

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
5,904
1,976
Jamani huwa ninavutiwa sana na misemo ya kwenye khanga.
Mfano:
1.Hata ng'ombe alikuwa ndama
2.Wao majungu,sisi kazi tu!
3.Ukiona manyoya ujue kashaliwa!
Kama nawe unaikumbuka mingine ongezea hapa!

Khanga1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom