Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Ndugu zangu,
Kwa mawazo yangu kama kuna kitu kinapunguza sifa/nguvu za mtu kuwa na uzalendo kamili ni huu ugongwa wa msamaha wa kodi.
Kwa maoni yangu wawakilishi wa wananchi ndio watu ambao wanatakiwa wapewe treat ambayo ni sawa kabisa na wananchi wajue machungu na matamu ya wanaowawakilisha.
Kwa muda mrefu sielewi ni kwa nini mwakilishi wa wanachi awe-exempted na kodi ya namna yoyote ile.
Nionavyo mimi exemption ya kodi ni ulaghai wa serikali kudanganya kwamba watu fulani hawalipwi hela nyingi kumbe wanalipwa fedha nyingi.
Lakini muhimu pia ukitaka kila mwananchi apende na kutetea nchi yake wakati wote hakikisha analipa kodi.
Asitokee mwananchi yeyote yule nchini asilipe kodi, alipe kulingana na uwezo wake. hata kama ni sh. tano kwa mwezi lakini aweze kusimama mbele ya raia wenzake na kusema nimelimia sh. tano kwa taifa langu, hivyo na-demand kuletea maji, afya na kadhalika.
Mwisho, ninakerwa na msamaha wa kodi wa namna yeyote ile.
Kwa mawazo yangu kama kuna kitu kinapunguza sifa/nguvu za mtu kuwa na uzalendo kamili ni huu ugongwa wa msamaha wa kodi.
Kwa maoni yangu wawakilishi wa wananchi ndio watu ambao wanatakiwa wapewe treat ambayo ni sawa kabisa na wananchi wajue machungu na matamu ya wanaowawakilisha.
Kwa muda mrefu sielewi ni kwa nini mwakilishi wa wanachi awe-exempted na kodi ya namna yoyote ile.
Nionavyo mimi exemption ya kodi ni ulaghai wa serikali kudanganya kwamba watu fulani hawalipwi hela nyingi kumbe wanalipwa fedha nyingi.
Lakini muhimu pia ukitaka kila mwananchi apende na kutetea nchi yake wakati wote hakikisha analipa kodi.
Asitokee mwananchi yeyote yule nchini asilipe kodi, alipe kulingana na uwezo wake. hata kama ni sh. tano kwa mwezi lakini aweze kusimama mbele ya raia wenzake na kusema nimelimia sh. tano kwa taifa langu, hivyo na-demand kuletea maji, afya na kadhalika.
Mwisho, ninakerwa na msamaha wa kodi wa namna yeyote ile.