Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Watu waliotengeneza mifumo ambayo huja kuwaumiza baadae si wa kuwatetea.Check hata Hawa wa Sasa wanayo nafasi ya kutengeneza mfumo mzuri wa haki lkn nao wameweka pamba Kama walivofanya wanaolia Lia sasa.Maana kwa mfumo huu wanaoutumia kuumizia wenzao nao wajiandae nao kuumizwa siku mfumo ukiwatupa.
Ndo Yale yale ya dikteta mugabe eti anasapoti na kupigia kura upinzani eti ushinde kwa mfumo uleule aliouweka alipokuwa madarakani.
Ndo Yale yale ya dikteta mugabe eti anasapoti na kupigia kura upinzani eti ushinde kwa mfumo uleule aliouweka alipokuwa madarakani.