ProBook
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 558
- 257
Arusha mida hii sijui ni kiongozi gani anapita barabara ya kisongo hapa magari yamesimamishwa almost 30 minutes now na bado hajapita na wala haelekei kupita anytime soon,,hivi inamaana hawa police wa usalama barabarani huwa hawawasiliani ili kujua msafara upo wapi,?
Maana naona hapa tumesimamishwa tu bila sababu
Maana naona hapa tumesimamishwa tu bila sababu